Using Scilab GUI for RGB and Lux Measurements
Gather data via USB from a BH1745NUC optical sensor and then display color characteristics and illuminance values. Supporting Information This article introduces Scilab. Two previous articles provide...
View ArticleRais Magufuli Awaapisha Balozi Na Makatibu Tawala Wawili…..Amtuea Luteni...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 30 Januari, 2016 amewaapisha Balozi, Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi Tanzania na Makatibu Tawala wawili, Ikulu Jijini...
View ArticleNchi 12 Za Ulaya na Marekani Zalaani Tume Ya Uchaguzi Zanzibar Kutangaza...
Mabalozi wa nchi zinazounda Umoja wa Ulaya (EU) wameeleza kusikitishwa na kitendo cha Tume ya Uchaguzi (ZEC) kutangaza tarehe ya marudui ya Uchaguzi wakati mazungumzo ya kutatua mgogoro yakiendelea na...
View ArticleMke wa Daivid Kafulila Amchokonoa Chenge Kuhusu Sakata La Escrow
Mbunge wa Viti Maalumu Chadema, Jesca Kishoa, amehoji kwa nini Tasisi ya Kupambana na Rushwa (Takukuru), imesema watu 36 watafikishwa mahakamani kwa tuhuma za ufisadi lakini vinara wa kashfa ya Tegeta...
View ArticleMahakama yamfutia kesi mtuhumiwa wa kupokea fedha za akaunti ya Tegeta Escrow
Aliyekuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), Philip Saliboko, ameachiwa huru katika shtaka la kutuhumiwa kuwa alipokea rushwa ya Sh milioni 40.4 kutoka kwa...
View ArticleTaarifa Ya Kukanusha Uvumi Wa Kuwepo Ajira Za Madaktari JWTZ
Hivi karibuni kumekuwa na uvumi unaoeleza kuwa JWTZ limetoa nafasi za kazi kwa vijana wenye fani ya Udaktari na kuwataka vijana hao kuripoti Makao Makuu na vyeti vyao kwaajili ya usaili. Habari hizo...
View ArticleMkoa wa Dar es Salaam Kuwa na Wilaya 5
Rais Dk. John Magufuli ameidhinisha kuwepo kwa wilaya tano katika jiji la Dar es Salaam, badala ya tatu zilizokuwepo awali, ili kuleta maendeleo ya haraka hususan katika elimu. Mkuu wa Mkoa wa Dar es...
View ArticleAskofu Mpya KKKT Aonya Utumbuaji MAJIPU…….Amtahadharisha Rais Kutumbua Majipu...
(Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Frederick Shoo (kulia) na Askofu Mkuu wa KKKT Mstaafu Alex Malasusa baada ya ibada...
View ArticleMahakama Yashusha Rungu kwa Majangili……..Yawapiga Kifungo cha Miaka 20 na...
Mahakama ya Wilaya ya Manyoni, mkoani Singida, imewahukumu mtu na kaka yake, kutumikia kifungu cha miaka 20 kila mmoja na kulipa fidia ya sh. milioni 270, baada ya kuwatia hatiani kwa makosa ya...
View ArticleUKAWA Wapinduliwa….Kamati Iliyoibua Sakata la Escrow Yakabidhiwa Kwa Wabunge...
Wabunge wa upinzani, wakiwamo wanaootoka vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wamepata pigo la aina yake baada ya jukumu mojawapo muhimu la kamati wanayopaswa kuiongoza kuondolewa...
View ArticleKundi La Mziki La Navy Kenzo Latoa Wimbo Na Video Mpya-kamati
THE INDUSTRY MUSIC LABEL Baada ya kutamba Mwaka Jana Africa nzima na wimbo unaoitwa ‘Game’, Kundi la Navy Kenzo limeanza mwaka vizuri baada ya kutoa wimbo mpya pamoja na video yake unaoitwa “Kamatia”...
View ArticleToka Bungeni: Nyumba 3500 Kujengwa kwa Ajili ya askari Polisi
Serikali inakamilisha taratibu zakupata mkopo toka serikali ya China bilioni 500 kwaajili ya ujenzi wa nyumba 3500 za askari wa jeshi la polisi nchini kufikia mwaka 2025. Naibu Waziri wa Mambo ya...
View ArticleToka Bungeni : Bunge Latengua Kanuni Ya 94 (1)
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limetengua kanuni ya 94 (1) ya kanuni za kudumu za bunge za mwaka 2006 ili kuliwezesha bunge kujadili mpango wa serikali utakaotaumika kwa muda wa mwaka wa...
View ArticleKutoka Bungeni: Serikali Kujenga Vyuo Vya VETA kila Wilaya
Serikali kupitia Wizara ya Elimu,Sayansi,Teknolojia na Ufundi inatarajia kujenga Vyuo vya Ufundi (VETA) kwa kila wilaya ili kutoa fursa kwa wananchi wengi hususani vijana kupata mafunzo mbalimbali ya...
View ArticleToka Bungeni: Hatimaye Bunge Laanza Kujadili Mpango wa Maendeleo Uliokwama...
Hatimaye leo Bunge limeanza kujadili mpango wa maendeleo ya mwaka 2016/2017, baada ya bunge hilo kutengua kanuni ili kupitisha mpango huo ambao ulikataliwa wa baadhi ya wabunge wiki iliyopita....
View ArticleRais Magufuli Afanya Mazungumzo Na Mwenyekiti Wa Tume Ya Taifa Ya Uchaguzi...
Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi hapa nchini Mheshimiwa Jaji Damian Lubuva amemhakikishia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kuwa tume hiyo ipo huru na haijawahi kuingiliwa...
View ArticleMke wa Kafulila Amlipua Dr. Mwakyembe Kuhusu Sakata La Mabehewa...
Sakata la ununuzi wa mabehewa kwa ajili ya Shirika la Reli Tanzania (TRL) yanayodaiwa kuwa mabovu liliibuka jana Bungeni na kumuinua Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Harrison Mwakyembe ambaye alikuwa...
View ArticleCRDB Yawatoa Hofu Wateja Wake Baada Ya Serikali Kuagiza Akaunti za Taasisi...
(Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, kuhusu serikali kuhamishia akaunti zote za mapato Benki Kuu. Kulia ni Mkurugenzi...
View ArticleRais Mugabe bila woga kaeleza yote aliyoambiwa na Rais mstaafu Jakaya Kikwete...
Moja ya vitu ambavyo vilizungumzwa na Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe kwenye kikao cha Umoja wa Afrika Addis Ababa Ethiopia ni kauli anayodai aliambiwa na Rais mstaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete...
View ArticleMbunge Joseph Msukuma Kasheku Ataka Serikali Ihalalishe Bhangi na Mirungi...
Mbunge wa Geita vijijini kwa tiketi ya CCM, ndugu Joseph Kasheku (Msukuma) ameishauri serikali kuruhusu kisheria kilimo cha Bhangi na Mirungi ili kuiwezesha kujipatia fedha za kigeni...
View Article