Quantcast
Channel: AutomobileHeat » electronics
Browsing all 1695 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vyama vya Siasa vyaaswa kushiriki uchaguzi wa Zanzibar

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Mhe.Jaji Francis Mutungi. (Picha na Maktaba). Na mwandishi wetu Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Mhe.Jaji Francis Mutungi ameviasa Vyama vya Siasa kushiriki chaguzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkataba wa Schengen huenda ukasimamishwa kwa muda

Umoja wa Ulaya unasema mkataba wa eneo la Schengen, huenda ukasimamishwa kwa hadi miaka miwili ikiwa utashindwa katika wiki chache zijazo kudhibiti mmiminiko wa wahamiaji kutoka Mashariki ya Kati na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Huyu Ndiye Gabo Zigamba Mjukuu wa Mzee Kiyeyeu wa Iringa

Gabo Zigamba mwigizaji wa filamu UNAPOSIKIA jina la Gabo Zigamba si jina geni katika tasnia ya filamu , Gabo amejizolea umaarufu katika tasnia ya filamu baada ya kufanya vizuri na kuwachanganya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hausigeli Afariki Kwa Kulawitiwa Na Bosi Wake

Mtumishi  wa nyumbani mwenye umri wa miaka 23, aliyekuwa akifanyakazi katika nyumba iliyo eneo la Mwika-Mrimbo, Moshi Vijijini, mkoani Kilimanjaro, amekufa kwa madai ya kulawitiwa na bosi wake, Zablon...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Amuua Mwenzake Kwa Kipigo Baada Ya Kumkuta Akimtongoza Dada Yake

Mkazi wa kijiji cha Kalovya – Inyonga wilayani Mlele, Ramadhani Ally (20) amefariki dunia akipatiwa matibabu hospitalini baada kupigwa  na  kijana  mwenzake. Akizungumzia  tukio hilo, Kamanda wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hotel ya Mtoto wa Amani Karume yateketea kwa moto, Vijana wawili wahusishwa

Moto mkubwa umeteketeza hoteli ya kitalii ya Konokono Beach Resort iliyoko Michamvi mkoa wa kusini Unguja, inayomilikiwa na mtoto wa rais wa zamani wa Zanzibar, Amina Karume pamoja na wawekezaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tusimruhusu Rais Magufuli Kusimika Utawala Wa Kidikteta Nchini- ACT Wazalendo

JANA limetokea tukio la aibu katika nchi yetu pale serikali ilipofanya jaribio la hatari la kuzuia wananchi kuona na kusikia kinachoendelea bungeni. Kitendo cha serikali ya CCM kuzuia kuonyeshwa moja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Atoa Ufafanuzi Kuhusu Kauli Yake Ya Kupiga Marufuku Mikutano Ya...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo amefafanua kauli yake ya kupiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa nchini  kuwashukuru wananchi hasa kwa wale wagombea walioshindwa uchaguzi  kwa kusema  kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kampuni ya Magazeti ya Mwananchi Yakanusha Kujihusisha na Biashara ya...

Idadi ya Raia wa kigeni kutoka nchini Ethiopia waliokuwa wakisafirishwa na Gari la magazeti la kampuni ya Mwananchi Communication Ltd imefikia 12 baada ya wengine 4 kukamatwa Jioni wakiwa Eneo la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Vurugu zaibuka, Wabunge wa Upinzani watimuliwa Bungeni

Hali ya Sintofahamu imetawala Bungeni jioni hii kufuatia wabunge wa Upinzani kupinga TBC kusitisha kurusha live matangazo ya moja kwa moja kuanzia jana kwa kigezo cha kubana matumizi. Kutokana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali ya Zanzibar Yasema Uchaguzi wa Marudio Utakuwa Huru na Wa Haki

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema imejipanga kuhakikisha Uchaguzi Mkuu wa marudio utakaofanyika Machi 20, mwaka huu unakuwa huru na haki kwa kupambana na makundi ya aina ya watu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kesi Ya Askofu Gwajima Kuendelea Kusikilizwa Februari 24

Mahama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imesema itaendelea kusikiliza ushahidi wa Jamhuri katika kesi inayomkabili  Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima. Gwajima anakabiliwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Asisitiza Bungeni Leo Kuwa TBC Hawatarusha Live Matangazo ya Bunge

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kwamba matangazo ya bunge hayatarushwa yote live kama serikali ilivyosema jana na tayari hatua hiyo imekwisha kuanza. Majaliwa ameyasema hayo alipokuwa akijibu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wizara Ya Ujenzi, Uchukuzi Na Mawasiliano : Taarifa Kwa Umma Kuhusu Kufungwa...

Tunapenda kutoa taarifa kwa Umma kuwa, Barabara ya Mpanda – Koga – Tabora imefungwa kwa muda kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha nchini zilizosababisha kufurika kwa mto Koga na kufanya daraja la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Dkt Magufuli Afanya Uteuzi Wa Naibu Gavana Wa Benki Kuu Ya Tanzania

Rais John Pombe Magufuli leo amemteua Julian Banzi Raphael kuwa  Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania akichukua nafasi ya Juma Reli ambaye muda wake umeisha.   [via LEKULE] Follow us @automobileheat...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News: CUF hawatashiriki Uchaguzi wa Marudio Zanzibar

Azimio La Baraza Kuu La Uongozi La Taifa Kuhusu Tangazo La Mwenyekiti Wa Tume Ya Uchaguzi Ya Zanzibar La Kuitisha Uchaguzi Wa Marudio Zanzibar   Baraza Kuu la Uongozi la Taifa la THE CIVIC UNITED...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zitto Kabwe: "Serikali Imekurupuka, Kuongoza Nchi Sio Kutumbua Majipu Tu"

Mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe amefunguka na kuonesha masikitiko yake kwa kitendo cha serikali kushindwa kuleta Bungeni mpango wake wa maendeleo wa miaka mitano. Zitto Kabwe kupitia ukurasa wake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu: Tutahakikisha Nidhamu Inarudi Serikalini

Waziri mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa Majaliwa,amesema serikali imeweka msisitizo katika kuhakikisha inarudisha nidhamu kwa watumishi wa umma kwa kuweka mkazo katika uadilifu, uwajibikaji, kutoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Profesa Mbarawa Akagua Athari Za Barabara Moro – Dodoma

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa amemwagiza Meneja wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), Mkoa wa Dodoma Eng. Leonard Chimagu kuhakikisha ukarabati wa barabara katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANESCO joins hands with German financial cooperation, AFD and the EU to...

Head of Cooperation for European Union, Eric Beaume gives his  remarks during the event. Looking from (right) is; Tanesco Managing Director, Eng Felchesmi Mramba, Embassy of Federation Republic of...

View Article
Browsing all 1695 articles
Browse latest View live