Quantcast
Channel: AutomobileHeat » electronics
Browsing all 1695 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: JWTZ Yafafanua Kuhusu Rais Magufuli Kuvaa Mavazi ya Kijeshi

January 22, 2016 akiwa njiani Kutoka Arusha Mjini kwenda Monduli kufunga  “Zoezi Onesha Uwezo Medani”  lililofanywa na Jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Amiri Jeshi Mkuu Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Dkt. John Pombe...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 23 Januari, 2016 ametunuku kamisheni kwa Maafisa wapya 205 wa jeshi la wananchi kundi la 57/15 katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UVCCM Mkoa wa Vyuo Wampa Makavu Benard Membe Kwa Kumponda Rais Magufuli

SHIRIKISHO LA VYUO VYA ELIMU YA JUU TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Ndugu waandishi wa habari,  nimewaita hapa kuelezea masikitiko makubwa kutokana na kauli za hivi karibuni za aliyekuwa waziri wa mambo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa na Maalim Seif Wajifungia Dodoma Kujadili Hatma Ya Zanzibar la Sakata...

Viongozi wa juu wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), akiwamo aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema, Edward Lowassa na wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watumishi 6 Watiwa Mbaroni Kwa Ufisadi Wa Milioni 800

Kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga ACP Mika Nyange WATUMISHI sita wa Halmashauri ya Mji wa Kahama mkoa wa Shinyanga, wamekamatwa na Polisi. Wafanyakazi hao ni miongoni mwa waliosimamishwa kazi hivi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbivu mbichi hukumu ya kesi ya kupinga bomoa bomoa mabonde ya Kinondoni...

Mbunge wa jimbo la Kinondoni, Maulid Mtulya (CUF) (katikati) akiwa pamoja na wanasheria wanaosimamia kesi ya msingi ya kupinga kubomolewa kwa wakazi wa mabondeni waliopo kweny mabonde ya Kinondoni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Amsimamisha Kazi Mkurugenzi Mkuu wa NIDA……Awarudisha Nyumba...

1.0            Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) 1.1  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, ametengua uteuzi wa  Bwana Dickson E. MAIMU ,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Esther Bulaya Ashinda Kesi Ya Kupinga Ushindi Wake Iliyofunguliwa na Stephen...

Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza imetupilia mbali kesi ya uchaguzi iliyofunguliwa na wapambe  wa  aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Bunda Mjini kwa tiketi ya CCM, Stephen Wassira kwa madai kuwa waleta...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sakata la ESCROW: Magufuli mkamate Seth wa IPTL

JUMUIA ya Wanazuoni Watetezi wa Rasilimali nchini (JUWARA), imewataka wabunge wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania linalotarajia kuanza rasmi vikao vyake vya kujadili hotuba ya Rais aliyoitoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Andrew Chenge Ateuliwa Kuwania Uenyekiti wa Bunge

Kamati ya Uongozi ya Bunge  imepitisha majina matatu ya wabunge watakaowania nafasi ya uenyekiti wa Bunge. Majina hayo yamepitishwa na kamati hiyo iliyoketi jana  kuanzia saa 3.00 asubuhi hadi saa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mhandisi George Sambali Ateuliwa Kuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu Wa Mamlaka ya...

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mh. Profesa Makame Mbarawa amemteua aliyekuwa Mkurugenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA), Mhandisi George Sambali kukaimu nafasi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa Ardhi , William Lukuvi Aagiza Kukamatwa kwa Watendaji wote...

Serikali imeliagiza jeshi la polisi na taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa kuwakamata, kuwahoji na kuwafikisha mahakamani viongozi na watendaji wote hata kama wamestaafu madaraka yao, walio...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge wa CHADEMA Atimuliwa Kwenye kikao na Polisi

Mbunge wa Kilombero, Peter Elijualikali jana alijikuta akitolewa nje ya kikao cha Halmashauri ya Kilombero na jeshi la polisi kwa amri ya Mwenyekiti wa kikao hicho kwa madai kuwa sio mjumbe halali wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CAR: Uchaguzi wa wabunge wafutwa

Afisa wa Tume ya Uchaguzi akihesabu kura baada ya kufungwa kwa kituo cha kupigia kura katika mji wa Bangui, Desemba 30, 2015. Na RFI Duru ya kwanza ya uchaguzi wa wabunge nchini Jamhuri ya Afrika ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watumishi wa Umma mnakumbushwa tena kuvaa beji zenye majina yenu.

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue ameagiza na kusisitiza ofisi zote Umma kusimamia na kuhakikisha kuwa hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Machi mwaka huu kila watumishi awe na kitambulisho (beji)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Simbachawene Amsimamisha Kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa ya Dodoma

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mh. George Simbachawene amemvua madaraka Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa ya Dodoma, Bw. Augustino Kalinga kufuatia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bunge la 11 Linaanza Leo…..Haya ni Mambo 8 Yatakayowasha Moto Bungeni

Kikao cha pili cha Bunge la kumi na moja linalotarajiwa kuwa na ushindani mkali wa hoja kati ya wabunge wa vya upinzani vinavyounda Ukawa na wabunge wa CCM kimeanza leo mjini Dodoma huku mambo 8...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kampuni Ya UDA Yakanusha Kufilisika

Kumekuwepo na taarifa za uwongo kwenye vyombo vya habari, hasa kijarida cha Dira ya Mtanzania, na mitandao ya kijamii kuhusu uongo kuwa kufilisika kwa Shirika la Usafiri Dar Es Salaam (UDA) Limited....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majaliwa atoa heshima za mwisho kwa Mwanasheria wa Bunge

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa heshima za mwisho kwa  aliyekuwa Mshauri Mkuu wa Masuala ya Sheria wa Bunge, marehemu Oscar Mtenda  nyumbani kwa marehemu mjini Dodoma Januari 26, 2016. (Picha na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maktaba ya kuelea’ yatia nanga Dar es Salaam

Meli ambayo imebebea maelfu ya vitabu, ambayo huhudumu kama maktaba, imetia nanga bandarini Dar es Salaam. Meli hiyo ina zaidi ya vitabu 5,000 pamoja na video. Itakuwa bandarini Dar es Salaam kwa muda...

View Article
Browsing all 1695 articles
Browse latest View live