Quantcast
Channel: AutomobileHeat » electronics
Browsing all 1695 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Iniesta: Haitowezekana Kwa Man Utd Kumsajili Ramos

Kiungo wa klabu bingwa nchini Hispania, Andres Iniesta amepingana na vyombo vya habari vya nchini England, vinavyoendelea kulikuza sakata la uhamisho wa beki wa klabu ya Real Madrid, Sergio Ramos....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kenya Yatangaza Msimamo Ndoa Za Jinsia Moja

Makamu wa rais wa Kenya William Ruto, ameonya kuwa ndoa za jinsia moja ni haramu na kuwa hazitawahi kuruhusiwa nchini humo. Ruto ametangaza msimamo huo mkali siku chache tu kabla ya ziara ya rais wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Steven Gerrard awafanyia Surprise Mashabiki wa Marekani

Hatimae aliyekua nahodha na kiungo wa klabu ya Liverpool, Steven George Gerrard amejitokeza hadharani na kuwasalimu mashabiki wa klabu ya LA Galaxy baada ya kuwa shuhuda wa mchezo wa klabu hiyo wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Facebook yawa mwiba China, talaka nje nje

Shirika la habari la serikali nchini China, limeripoti ongezeko la wanandoa wanaotengana kufuatia matumizi ya kupita kiasi ya mtandao wa facebook jambo ambalo limefanya wapenzi kutumia muda mwingi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIPUMBA: Tutaitisha Maandamano Mikoa Yote Yenye GESI

Chama cha Wananchi (CUF), kimesema kitaitisha maandamano kwenye mikoa yenye gesi ili kulishinikiza Bunge kupinga muswada wa mafuta na gesi uliopitishwa juzi. Akihutubia wakazi wa Manispaa ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA Yaitisha Kikao cha Dharura Kujadili Adhabu Waliyopewa Wabunge wa...

Homa ya Uchaguzi Mkuu imeifanya Chadema kuitisha kikao cha dharura cha Kamati Kuu ili kujadili mambo ya kitaifa, ikiwamo adhabu waliyopewa wabunge wa Ukawa kabla ya kutoa tamko.    Kikao hicho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mgombea ACT -Wazalendo Aahidi Kuwasaidia Wanawake

MTIA nia ya kugombea ubunge katika jimbo la Kahama kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Clara Masanja amesema endapo atapewa ridhaa na chama hicho na kushinda nafasi hiyo, atahakikisha anawajengea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

You are so pretty’, ni kauli ya Jay Z alipomuona Vanessa Mdee

Vanessa Mdee anaweza kumfanya Beyonce anune au apate wivu kwakuwa muimbaji huyo wa ‘Nobody But Me’ aliwahi kulivutia jicho la rapper mwenye nguvu zaidi duniani, Sean Carter aka Jay Z. Akiongea kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mchungaji Mtikila Atangaza Kuwafikisha Mahakamani Wasaka Urais 6 wa CCM……Yumo...

CHAMA cha Democratic Party (DP) kimetangaza kwenda mahakamani kukishtaki Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamoja na makada wake sita kutokana na kukiuka sheria ya nchi, taratibu pamoja na kanuni za uchaguzi....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Kuwazuia Wananchi Kwenda Dodoma Hadi Mkutano...

Kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo kuwazuia wananchi kusafiri kwenda Dodoma hadi Mkutano Mkuu wa CCM utakapomalizika, imepingwa na Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa vijana wa chama hicho,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Wa FC Barcelona Atoa Kali Ya Mwaka

Raisi wa klabu ya Barcelona Josep Bartomeu ameonyesha dhamira ya “ Sizitaki Mbichi Hizi ” baada ya kuuthibitishia umma walikua hawana mpango wa kumsajili kiungo kutoka nchini Ufaransa pamoja na klabu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzanite Kuwakabili Young She-Polopolo Jumamosi

Timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania wenye umri chini ya miaka 20 (Tanzanite) itashuka dimbani siku ya jumamosi katika uwanja wa Azam Complex kucheza na timu ya U20 ya Zambia (The Young She-polopolo)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chelsea Yalinasa Kinda La Kibrazil

Mshambuliaji wa klabu ya Fluminense, Robert Kenedy Nunes do Nascimento jana jioni alifanyiwa vipimo vya afya huko jijini London, ikiwa ni sehemu ya kukamilisha usajili wa kujiunga na klabu bingwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dewji Atangaza Kutogombea Tena Ubunge Singida Mjini

Mbunge wa Singida Mjini (CCM) na mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji amewaliza baadhi ya wapigakura wake wakati akitangaza kutogombea tena nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu ujao kwa ya madai...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Biashara ya NGONO Yashamiri Mkoani Dodoma………Makahaba Wazagaa Kila Kona

 BIASHARA ya ngono imeshamiri mkoani Dodoma wakati huu ambao vikao vya kumpata mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) vimekwisha kuanza. Uchunguzi uliofanywa  katika baadhi ya kumbi kama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Chanel Ten, Star tv, TBC Zaadhibiwa na TCRA

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa adhabu ya faini kwa vituo vitatu vya televisheni nchini kwa kuonyesha vipindi vilivyokiuka kanuni za huduma ya  utangazaji (maudhui ) ya mwaka2005....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

South Africa rapper AKA welcomes baby girl with girlfriend

South African rapper AKA today July 8th welcomed a baby girl with his girlfriend  DJ Zinhle , who is one of South Africa’s biggest female DJs. The girl has been named Kairo Owethu Forbes. Congrats to...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hatma Ya Casillas Ipo Mikononi Mwa Wareno

Hatimae uongozi wa klabu ya Real Madrid umekubali kumuuza mlinda mlango Iker Casillas kwenye klabu ya FC Porto na wakati wowote kuanzia hii leo unatarajia kuthibitisha kukamilishwa kwa dili hilo. Kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Djokovic Aendeleza Ubabe Wimbledon Championships

Mcheza Tennis kutoka nchini Serbia, Novak Djokovic amesonga mbele katika michuano ya Wimbledon Championships (Wimbledon Open) baada ya kumgaragaza mpinzani wake kutoka nchini Serbia, Marin Cilic....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hans Poppe azuiwa kumfuata straika Brazil

WAKATI Simba ikiwa kwenye mchakato wa kupata mshambuliaji kutoka Brazil, mchakato huo umepata kikwazo baada ya mwakilishi wa klabu hiyo aliyetakiwa kwenda Brazil kusitisha zoezi hilo. Mwenyekiti wa...

View Article
Browsing all 1695 articles
Browse latest View live