Quantcast
Channel: AutomobileHeat » electronics
Browsing all 1695 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LED – Photovoltaic loop generator

 The LED – Photovoltaic loop generator, also known as a photoelectric cell loop generator, is a nice and easy to build topology of a free energy generating device. This self-operating system is using...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Walichokisema Stanslaus Mabula (CCM) baada ya ushindi pamoja na Ezekiel Wenje...

Stanslaus Shing’oma Mabula akiongea na wanahabari usiku wa kuamkia jana Octoba 27,2015 muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi wa Ubunge Jimbo la Nyamagana (CCM). Ezekiel Dibogo Wenje (Chadema)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu 27 waripotiwa kuwa na ugonjwa Kipindupindu jijini Arusha

Mkuu wa wilaya ya Arusha, Fadhili Nkurlu. Mahmoud Ahmad Arusha Jumla ya watu 27 waliripotiwa kuwa na dalili za ugonjwa wa kipindupindu huku kati yao 6 walithibitishwa kuwa na ugonjwa wa kipindupindu....

View Article

Updates: Vyama Vya Siasa Vinatia Saini Muda Huu Kukubali Matokeo Yaliyotangazwa

Vyama vyote vilivyosimamisha wagombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania vimeridhia usahihi wa matokeo ya Urais isipokuwa CHAUMMA na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)   Hivi sasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News: Dr John Pombe Magufuli Atangazwa Rasmi Kuwa Mshindi Wa Kiti...

Tume ya uchaguzi ya Tanzania Bara (NEC) kupitia Mwenyekiti wake Jaji Damian Lubuva   imemtangaza  Rasmi  mgombea  Urais  wa  CCM, Dr John Pombe  Magufuli   kuwa  mshindi  halali  wa  kiti  cha  Urais...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamko la Edward Lowassa Baada ya NEC Kumtangaza Dr Magufuli Kuwa Mshindi wa...

Watanzania wenzangu! Leo tarehe 29 October 2015, kwa kupitia Mgombea Mwenza wangu, Mh. Juma Duni Haji nimewasilisha rasmi malalamiko yetu kuhusu mwenendo mzima wa uchaguzi mkuu wa 2015 kwa Mwenyekiti...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

38 kizimbani kwa kufanya vurugu Mbagala wakati wa uchaguzi

 Watu 38 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi  K isutu wakikabiliwa na mashtaka manne likiwamo la kutoa vitisho vya shinikizo kwa msimamizi  atoe matokeo ya Ubunge ya Mbagala bila ya kufuata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Raila Odinga Ampongeza Magufuli….Atoa Ushauri Kwa Lowassa

Waziri Mkuu wa zamani Kenya Raila Odinga amempongeza Dkt. John Pombe Joseph Magufuli baada ya kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa Urais Tanzania.   Aidha, Mhe Odinga amemshauri mgombea wa upinzani Mhe....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Raila Odinga congratulates John Magufuli on winning Tanzania election

CORD leader Raila Odinga has sent a message of goodwill to the newly elected President of Tanzania John Magufuli. “Please accept my warmest congratulations personally and on behalf of the Orange...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Profesa Kitila Amtaka Lowassa Akubali Yaishe

Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Kitila Mkumbo amesema aliyekuwa mgombea wa urais wa Chadema, Edward Lowassa, hana budi kukubali matokeo licha ya kupoteza nafasi...

View Article

Hali ni Tete Zanzibar….Bomu Lategwa Kituo cha Polisi, JWTZ Waliwahi na Kulilipua

Jeshi la Polisi Zanzibar kwa kushirikiana na Jeshi la Wananchi (JWTZ), limefanikiwa kuteguwa bomu lilitegwa eneo la Mkunazini karibu na kituo cha polisi mjini Zanzibar.   Bomu hilo lilitegwa na watu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Obama aing’oa Burundi kutoka kwenye AGOA

Marekani imeiondoa Burundi kutoka kwenye mikataba yake ya kibiashara AGOA iliyowezesha mataifa ya Afrika kuingiza bidhaa zao katika soko la Marekani bila kulipa kodi. Katika barua aliyoiandikia bunge...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi yavamia kituo cha ukusanyaji taarifa cha TACCEO na kukamata maafisa 36...

Wakili Imelda – Lulu Urio Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC. Na Mwandishi wetu Mtandao wa Asasi za Kiraia za Kuangalia chaguzi nchini jana ulipata pigo katika mwendelezo wake wa kukusanya taarifa juu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YMC yaendesha mafunzo ya siku mbili ya utafiti wa taaluma shule za msingi...

Mratbu wa shirika la Uwezo mkoa wa Singida, Nason W.Nason, akitoa nasaha zake kwenye mafunzo yaliyohusu kufanywa kwa utafiti juu ya taaluma shule za msingi manispaa ya Singida.Wa pili kulia ni Kaimu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Philip Morris International continues to support sustainable agriculture in...

-P MI purchases tobacco from three suppliers in Tanzania, contributing more than US$150-million annually to the economic development of the country’s rural areas Philip Morris International (PMI) (...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya ZADIA kuhusu kufutwa kwa matokeo ya Uchaguzi Zanzibar

Jumuiya ya Wazanzibari Waishio Nchini Marekani (ZADIA), imekuwa ikifuatilia kwa karibu na makini zaidi zoezi zima la Uchaguzi Mkuu visiwani Zanzibar na Tanzania kwa ujumla. Kwa kiasi kikubwa mchakato...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wakazi zaidi ya 100 wa mtaa wa Kasera Kange jijini Tanga wameagizwa kuvunja...

Wakazi zaidi ya 100 wa mtaa wa Kasera Kange jijini Tanga wameagizwa kuvunja nyumba zao kisha kuondoka mara moja katika eneo hilo kufuatia baadhi ya viongozi wa serikali kumega sehemu ya ardhi ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baada Ya Kushinda Udiwani, Baba Levo Kutumia Milioni 110 Kufungua Studio...

Baba Levo ambaye hivi sasa ni mheshimiwa Diwani Mteule wa Kata ya Mwanga, Kigoma Mjini kwa tiketi ya ACT –Wazalendo, amepanga kubadili mazingira ya muziki Kigoma na kuwavuta wasanii wa Dar es Salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matokeo ya Mtihani wa Kitaifa wa Darasa la Saba 2015 Yako Hapa

Haya  ndo  Matokeo…Bonyeza  Mkoa   husika  kuyaona ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA KILIMANJARO LINDI MARA MBEYA MOROGORO MTWARA MWANZA PWANI RUKWA RUVUMA SHINYANGA SINGIDA TABORA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Highnes Kiwia Kupinga Matokeo Ya Mabula Mahakamani

ALIYEKUWA mgombea ubunge Jimbo la Ilemela, Highnes Kiwia, kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ametangaza kwenda mahakamani kupinga matokeo yaliompa ushindi, Angelina Mabula...

View Article
Browsing all 1695 articles
Browse latest View live