Quantcast
Channel: AutomobileHeat » electronics
Browsing all 1695 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kama jina lako halijabandikwa kituoni,Hutaruhusiwa Kupiga Kura

[via LEKULE] Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK leo akabidhi jeshi la polisi magari 399 mapya kati ya 777 yaliyoagizwa

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Inspekta Jenerali wa Polisi IGP Ernest Mangu alipowasili Chuo Kikuu cha Mafunzo ya Polisi Kurasini jijini Dar es salaam leo Oktoba 20, 2015 tayari kukabidhi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete Azindua Uwanja wa Ndege Katika Kambi ya Jeshi ya Ngerengere...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete jana amezindua uwanja wa ndege katika kambi ya kijeshi ya anga iliyoko Ngerengere mkoani Morogoro ambapo alisema anajivunia kutoka madarakani akiwa ameiacha nchi katika hali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mambo Yatakayosababisha Kura Yako Iwe "Imeharibika" au "Sahihi"

Kura halali zitakazopigwa siku ya Jumapili kwa ajili ya kuwachagua viongozi kwenye Uchaguzi Mkuu zinaweza kuharibika ikiwa hazitapigwa kwa usahihi na kuondoa utata.. Kura iliyoharibika ni ile ambayo:...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kikwete: "Kutumia Fedha Nyingi Kujenga Jeshi Letu siyo Ubadhirifu wa Fedha"

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa Tanzania inaimarisha Jeshi lake – Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), siyo kwa nia ya kumchokoza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIDEO: Mama Maria Nyerere Ampigia Kampeni Dr. Magufuli

Oktoba 20 Mke wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere alifanya mahojiano na waandishi wa habari nyumbani kwake Butiama Mara.    Hii ni sehemu ya mahojiano ambayo ina ujumbe wake kwa Watanzania wote...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kesi Ya Kukaa Mita 200 Ni Kaa La Moto…….Mawakili Watoana Jasho Kwa Vifungu...

Mvutano mkali wa hoja za kisheria ulitikisa kwenye Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam jana wakati Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk. Tulia Ackson alipoiomba mahakama itupilie mbali maombi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha 16 Za MAFURIKO Ya Lowassa Huko Tanga- Jana Oktoba 21

Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na Vyama vya Ukawa, Edward Lowassa, akipunga mkono wakati akiwasili kwenye Viwanja vya Indian Ocean katika mkutano wa kampeni mjini Tanga jana Jumatano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baa zaagizwa kufungwa mkesha wa uchaguzi Dar.

Serikali jijini Dar es Salaam imeagiza baa zote zinazouza pombe mpaka asubuhi kusitisha shughuli hiyo mkesha wa siku ya uchaguzi ili kuimarisha usalama Jumapili ijayo.   Aidha, imesisitiza kwamba kila...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matokeo ya mechi za Ligi Kuu Tanzania bara October 22

Ligi Kuu soka  Tanzania  bara iliendelea tena leo October 22 kwa michezo minne kupigwa katika viwanja vinne,   JKT Ruvu  walikuwa wenyeji wa   Mtibwa Sugar  ya  Morogoro katika uwanja wa  Karume...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkuu wa Jeshi (IGP) Apiga Marufuku Mikusanyiko ya Watu siku ya Kupiga Kura

Jeshi la Polisi nchini, limepiga marufuku mikusanyiko ya watu siku ya  kupiga kura kwa madai kwamba imekuwa ndiyo chanzo cha uvunjifu wa amani. Pia, Jeshi hilo limesema mikusanyiko ya aina yoyote...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanawake na Watoto Waanza Kuodoka Mkoani Mtwara Wakihofia Kutokea Kwa Vurugu...

Shirika  la  utangazaji  la  Ujererumani,DW  limeripoti  leo  mchana  kuwa idadi kubwa ya watu  wameanza kuondoka  mkoani Mtwara  wakihofia hali ya usalama wakati wa uchaguzi.   Kwa mujibu wa Dw ,watu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nape Nnauye Apata AJALI Mbaya Ya Gari Akitokea Dar Kwenda Lindi

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amepata ajali mbaya jana usiku akiwa njiani kuelekea Lindi akitokea jijini Dar es Salaam. Nape ambaye pia ni mgombea Ubunge wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Unachopaswa Kufanya siku ya Uchaguzi- Jumapili

Keshokutwa ni siku itakayokuwa na mambo mengi kwa sababu ya Uchaguzi Mkuu. Pamoja na ratiba ya kila mmoja lakini kupiga kura ni suala linalowaunganisha Watanzania wote. Ili kumchagua rais, wabunge na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa Kuhutubia Taifa LEO Oktoba 23, 2015 Saa tatu usiku

TARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Kupitia taarifa hii kwa vyombo vya habari, tunapenda kuutaarifu umma wa Watanzania wote nchini kuwa Mgombea Urais wa CHADEMA anayeungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bawacha: Wanawake Mkipiga Kura Kaeni Mita 200 Mzilinde Zisiibiwe

BARAZA la Wanawake la Chama Cha Demokrasia (Chadema) Taifa, Bawacha, limewataka wanawake nchi nzima kupiga kura na kukaa mita 200 ili kulinda kura zao kwani ni haki yao kisheria. Kauli hiyo imetolewa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya Uongo na Upotoshaji Kumhusu Jaji Mkuu Kukubali Wananchi Kukaa Mita...

2.0 Taarifa hii si ya ukweli na ni ya upotoshaji,Mhe Jaji Mkuu hajawahi kuzungumzia chochote kuhusu sheria hiyo ukitilia maanani kesi hiyo iko Mahakama Kuu shauri Namba 37 ya 2015 iliyofunguliwa na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kortini Kwa Kumtukana Rais Kikwete Na Ridhiwan Wakati Akiwa Baa

Mkazi wa mjini Moshi, Kyefa Joachim Makundi (33), jana alipandishwa kizimbani akikabiliwa na mashitaka ya kumtukana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya  Kikwete. Mbali na shitaka hilo,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hatimaye Mahakama Yatoa HUKUMU Kesi Ya Kukaa Mita 200 Baada Ya Kupiga Kura

Mahakama Kuu Dar leo imetupilia mbali shauri la tafsiri ya sheria ya mpigakura kukaa au kutokaa umbali wa mitaa 200 kutoka eneo la kupiga kura.   Kwa mujibu wa majaji waliotoa maamuzi hayo wamesema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha za MAFURIKO Ya Lowawasaa Ruaha, Mikumi ni Balaa

Mhe. Edward Ngoyai Lowassa na Mhe. Fredrick Sumaye wakiwasili katika viwanja vya Tem K2 Ruaha,Ijumaa 23/10/2015 Mhe. Edward Ngoyai Lowassa (Kulia) akiambiwa jambo na mgombea ubunge wa jimbo la Mikumi...

View Article
Browsing all 1695 articles
Browse latest View live