Quantcast
Channel: AutomobileHeat » electronics
Viewing all 1695 articles
Browse latest View live

Material Handling Design | Design Of Cranes | Design Of Crane Hook | Design Of Crane Girders | Design Of Crane Columns

$
0
0

The Design of crane parameters are: Maximum Load Span of the crane Height from Floor to Gantry Rail Level Class of work of the crane Headroom End clearance Operating Speeds Under Loaded Condition Maximum Load: The maximum load in tons is the customer’s requirement and must be specified clearly. Design of almost all the components of the crane are influenced by this parameter. In some cases it is necessary to arrange for a second hoisting machinery called the auxiliary hoist, to lift a much lighter load. If the load at which the crane is operated in general is considerably less than the maximum load, an auxiliary hoist may be used. Cranes used for power plant maintenance is an example of such cases where auxiliary hoist may be fitted. For an entirely different reason auxiliary hoist may be fitted with cranes used for foundries, steel casting shop handling ladles containing molten metal. In these industries the main hoist of the crane is used for hoisting the ladle containing the molten metal, while the auxiliary hoist is used to lift the ladle very slowly to pour the liquid in the mould. An auxiliary hoist machinery consists of a completely separate hoist mechanism built on a second crab which may run either above or below the crab of the main hoist. The auxiliary hoist is generally of much less capacity than the main hoist. Span of the Crane: The distance between the centre to centre of the gantry rails over which the wheels of the bridge run. The section of the gantry rails should also be specified for the design of the wheels of the bridge. Check EOT Crane Parts Height from Floor to Gantry Rail Level: To arrange for the correct height of lift this parameter should be specified. If the crane is required to lift out of pits or from below the floor level, particulars should be specified. Class of Work of the crane: For the purpose of design of their frames, every crane and hoist is classified with respect to the frequency of application, variation of magnitude of the load and the effect of impact. Cranes are divided into four classes. Light duty cranes come under class I type. Heaviest duty crane are class 4 type. Light duty and Heavy duty cranes are discerned by the working period, effective load and dynamic effect. It should be remembered that this classification is applicable to the entire crane and the structure. The working period is short if the crane is operated for less than 500 hours per year. The effective load is high if the crane is used to lift loads greater than two third of its safe working load on more than one thousand occasions per year. The dynamic effect may be considered low if the speed of travelling of both crab and bridge or hoist are each less than 100 m per minute. If the speed of operation is higher than this the dynamic effect is high. Headroom: The clear height available from the gantry rail level to the lowest overhead obstruction is called the head room. This should be specified by the customer. The height of the hoisting machinery over the crab should not foul with the structural obstruction. End Clearance: The distance from the centre of gantry rail horizontally to the nearest obstruction on either side is called the end clearance. Operating speeds under Loaded Condition: The operating speeds in m/min for the main hoist, auxiliary hoist, cross traverse and long travel should usually be specified by the customer. When there are no special requirements, the speeds will follow the usual standard practice for the size of crane under consideration. Apart from the above mentioned important parameters the customer should also specify the following particulars: Electrical details like the type (AC or DC), Voltage, Number of phase, Frequency, Electrical control, Whether the control is to be in operator’s cabin for hand operation, or whether from floor by means of pendant.

[via LEKULE]

Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat


Jib Crane Rotation | Jib Crane Movement | Jib Crane Motion | Jib Crane Electric Winch

$
0
0

Jib crane have the following motions: Hoisting motion Derricking or luffing motion Slewing motion Long travel motion Hoisting motion: It is used to lift or lower the load. This is usually achieved by steel wire ropes being affixed to a crane hook or a grab hanging from the outer end of the jib. The rope is applied through some receiving arrangement and controlled and operated by a winch system. Derricking or Luffing motion: It is imparted to the inclined member or the jib to move in a vertical plane so that the angle of the jib may be changed in order to bring the load line nearer to or further off from the centre of the crane. Slewing motion: It is imparted to the whole super structure of the crane including the jib, so that it can turn about a central pivot shaft w.r.t. the non-revolving parts. This motion enables the crane to shift the load line to revolve round the crane. Long Travel Motion: It may be required when the whole crane structure has to be shifted to a distant place along a rail track or along a road.

[via LEKULE]

Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

Kiama Cha Waliotorosha Makontena 2431 Kimekaribia…..Majina Yao Yameshatua Kwa Waziri Mkuu

$
0
0

Baada ya moto kuwawakia watumishi wa Mamlaka ya Mapato wanaotuhumiwa kujihusisha na ukwepaji kodi wa kifisadi kwenye Bandari Kavu (ICDS) na kupelekea wanane kati ya watuhumiwa 37 kufikishwa mahakamani, zamu ya Mamlaka ya Bandari inakaribia, imefahamika.     Watumishi wa Bandari ya Dar es Salaam, waliohusika na kupitisha makontena 2,431 bila kulipiwa kodi wanakaribia kuchukuliwa hatua za kinidhamu na kisheria baada ya majina ya wahusika kutua mezani kwa Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa, kama alivyoagiza.     Kuwasilishwa kwa majina hayo katika Ofisi ya Waziri Mkuu Majaliwa, kunafuatia ziara ya kushtukiza katika Bandari hiyo ambapo aligundua kuwapo kwa ufisadi huo.     Katika ziara hiyo, Majaliwa alimtaka Kaimu Meneja wa Bandari, Hebel Mhanga kupeleka ofisini kwake majina ya watumishi wote waliohusika na ukwepaji huo wa kodi unaokadiriwa kufikia shilingi bilioni 600 ifikapo saa 11 jioni Alhamisi.     Jana  Mwandishi wa Habari wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Irene Bwire, alithibitisha  kuwa majina hayo yameshamfikia Waziri Mkuu.     “Ninachoweza kukwambia ni kwamba majina yamefika mezani kwake kama alivyoagiza lakini siwezi kukutajia majina ya wahusika… Waziri Mkuu ndiye mwenye mamlaka ya kuyataja hadharani iwapo ataamua kufanya hivyo,” alisema Irene.     Kwenye ziara hiyo, Majaliwa alimpa Meneja huyo siku saba kuhakikisha kuwa mamlaka hiyo inabadilisha mfumo wa utozaji malipo kutoka kwenye mfumo wa ankara na kuwa wa malipo wa kielektroniki.     Wakati huohuo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Shaban Mwinjaka, aliuonya uongozi wa Bandari kutofanya ujanja wa kuficha majina ya watu wakubwa waliohusika na upotevu wa makontena 2,431 yaliyotolewa bila kulipiwa ushuru.     Mwinjaka alitoa onyo hilo baada ya uongozi huo kutekeleza agizo la Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kupeleka majina ya watu hao ofisini kwake juzi.     “Lazima uongozi wa Bandari ujihakiki kama watu wote waliohusika katika hujuma ile majina yao yamo kwenye orodha iliyopelekwa kwa Waziri Mkuu,” alisema katibu Mkuu huyo.  “Hata akiwa papa lazima ajulikane na wasiwachukue watu wadogo wadogo peke yao maana itawagharimu.”    Waziri Mkuu Majaliwa alifanya ziara nyingine ya kushtukiza bandarini katikati ya wiki kwa kukagua mfumo wa upokeaji na utoaji mizigo wa malipo baada ya kupewa taarifa kuna makontena 2,431 yalitolewa bandarini bila kulipiwa ushuru.   Majaliwa, alikagua idara mbalimbali za mamlaka ya bandari na kuona ukaguzi wa mizigo unavyofanyika kwa kutumia Scanners.     Katika ukaguzi huo, Majaliwa alieleza kuwa kwa mujibu wa taarifa ya ukaguzi wa bandari ya kuanzia Machi hadi Septemba 2014, makontena hayo yalipita bila kulipiwa kodi kupitia bandari kavu nne ambazo ni JEFAG, DICD, PMM na Azam huku watumishi 10 tu wa ngazi za chini ndio wakiwa wamesimamishwa kazi kutokana na makosa hayo.     Ziara hiyo ilikuwa ya pili bandarini katika kipindi cha siku tano, baada ya ile ya awali kubaini upotevu wa makontena 349 bila kulipiwa ushuru, kitendo kilichosababisha awasimamishe kazi watumishi tisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Bandari, huku Rais John Magufuli akimsimamisha kazi kamishna Mkuu wa TRA, Rished Bade.

[via LEKULE]

Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

Magufuli Ateka Kampeni za Urais Uganda kwa Museveni……Wapinzani Watumia Jina Lake Kuomba Kura

$
0
0

Kasi ya Rais John Magufuli katika kubana matumizi yasiyo ya lazima ya serikali ili fedha zinazookolewa zielekezwe katika kuimarisha huduma za jamii imeendelea kuvutia wengi katika nchi jirani za Afrika Mashariki baada ya jina lake kuanza kutumiwa na wagombea urais nchini Uganda. Kati ya wagombea wote, aliyejipambanua kwa uwazi kuwa atafuata nyayo za Magufuli katika kuhakikisha kuwa serikali inaendesha mambo yake kwa nia ya kubana matumizi yasiyo ya lazima, kukomesha ufisadia na mwishowe kuwanufaisha watu wa tabaka la chini kupitia uboreshaji wa huduma za jamii ni mgombea wa upinzani anayemtikisa Rais Yoweri Museveni katika kinyang’anyiro hicho, Dk. Kizza Besigye wa chama cha Forum for Democratic Change (FDC).  Katika kampeni zake mwishoni mwa wiki, Besigye amesema wazi kuwa pindi atakapochaguliwa na wananchi na kuingia madarakani, atafuata nyayo za Magufuli kwa kuanza kuipiga bei ndege  inayotumiwa na Museveni kwa maelezo kuwa inalibebesha taifa lao gharama kubwa ambazo zinaweza kutumiwa katika kuboresha huduma za jamii. Uchaguzi Mkuu nchini Uganda unatarajiwa kufanyika mwanzoni mwa Februari, 2016. Akiwa amefuatana na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Profesa Ogenga Latigo, kwenye mkutano wa kampeni wilayani Agago nchini humo, Besigye ambaye pia ni Kanali wa Kijeshi, alisema ataiuza ndege hiyo aina ya  Gulfstream V Jet, iliyoligharimu taifa hilo shilingi za Uganda bilioni 88.2 (Sh. bilioni 55.6 za Tanzania). Besigye alisema ndege hiyo haiongezi faida yoyote kwa walipa kodi wa Uganda, licha ya Rais Museveni kudai kuwa anaitumia tu wakati akitaka kusafiri nje ya nchi, hoja ambayo Besigye anaipinga kwa kuwa hata kama haitumii kwa safari za ndani, bado inatakiwa mashine zake zitunzwe na wafanyakazi wake pia wahudumiwe. Besigye alisema yeye anaunga mkono jitihada zinazofanywa na Rais mpya wa Tanzania, Magufuli, ambaye anaishi kulingana na jina lake la utani la ‘tingatinga’ kutokana na kuchukua hatua kadhaa dhidi ya ufisadi, kuongeza ufanisi wa kazi katika ofisi za umma na pia kuongeza nidhamu ya matumizi kwa manufaa ya taifa na siyo watu wachache. Magufuli amekuwa akiwavutia Watanzania wengi wa kawaida huku akijielekeza katika kuhakikisha kuwa anashughulikia kero za wananchi ambazo zimekuwa zikisababishwa na tabaka la watawala na wafanyabiashara ambao wamekuwa wakijitajirisha wenyewe.    Besigye anaonekana kumuiga Magufuli kwa kuelekeza kampeni zake katika kushughulikia kero za wananchi wa kawaida. Aidha, katika kufuata zaidi nyayo za Magufuli, Besigye amekuwa akizungumzia masuala yanayohusu hatma ya kila siku ya maisha ya watu wa kawaida, hasa kina mama wasioweza kupata fedha zinazotozwa kwao wakati wa kujifungua.    Kadhalika, Besigye amekuwa akizungumzia vijana wanaohaha kutafuta kazi kila uchao baada ya kumaliza shule na pia wananchi wengine ambao wengi wanakabiliwa na lindi kubwa la umaskini.

[via LEKULE]

Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

TRA Yaibana BAKWATA Kuhusu Misamaha Ya Kodi

$
0
0

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imelishukia Baraza Kuu la Waislamu Tanzania kutokana na kuwepo ongezeko kubwa la maombi ya misamaha ya kodi. TRA imeiandikia Barua Bakwata baada ya kubaini kuwa kati ya mwaka 2006 na Septemba mwaka huu, Baraza hilo limeingiza magari 82 yenye msahama wa kodi. Barua hiyo ya TRA kwenda Bakwata iliyosainiwa na Meneja Misamaha ya Kodi wa TRA, Mwamtum Salim inamueleza Katibu Mkuu wa Bakwata kuwa kutokana na kuwepo ongezeko kubwa la maombi ya misamaha ya Kodi, Mamlaka hiyo itaanza kufuatilia kwa ukaribu zaidi maombi hayo. TRA ilitoa siku saba kwa Baraza hilo kuhakikisha inawasilisha nyaraka kadhaa ikiwa ni pamoja kuonesha safari za magari, bima, stakabadhi ya mafuta, uthibitisho kuonesha fedha zilizonunua magari hayo pamoja na kitabu cha mahesabu cha Taasisi hiyo.

[via LEKULE]

Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

Katibu Mkuu Tamisemi Akagua Miundombinu ya Mfumo wa Mabasi Yaendayo Haraka

$
0
0

Katibu Mkuu Ofisini ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Bw. Jumanne Sagini (kushoto) akimweleza jambo Mwenyekiti wa Kampuni ya UDA-RT, Bw. Robert Kisena wakati alipofanya ziara kwenye miundombinu ya mfumo wa Mabasi yaendayo haraka kabla kipindi cha mpito hakijaanza mwezi ujao mwisho mwa wiki. UDA-RT ndiyo kampuni itayotoa huduma ya usafiri katika kipindi hicho na tayari imeshanunua mabasi 140. WATOA huduma katika kipindi cha mpito cha mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam, kampuni ya UDA-RT wameihakikishia serikali na wananchi kuwa matayarisho yanaendelea vizuri tayari kwa huduma hiyo kuanza Januari 10 mwakani.   Ahadi hii ilitolewa wakati wa ziara iliyofanywa na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Jumanne Sagini, alipokuwa akikagua miundombinu katika mabasi yanayotarajiwa kutoa huduma hiyo. Siku chache zilizopita, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aliwataka wahusika wote wa mradi huo kuhakikisha unaanza mara moja ili kupunguza adha ya usafiri Dar es Salaam. “Tulitaka kujiridhisha kama mabasi haya yako tayari kutoa huduma hii,” alisema Sagini mbele ya waandishi wa habari na kuwataka wahusika kuhakikisha agizo hilo linatekelezwa haraka. Mabasi 140 yanayomilikiwa na kampuni ya UDA-RT yatatumia mfumo wa kisasa wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) wa ukusanyaji nauli, mifumo ya utoaji taarifa na maeneo maalum ya wazee na walemavu.    Mwenyekiti wa UDA-RT, Robert Kisena aliwataka wananchi kujali mabasi hayo mara huduma itakapoanza. “Wananchi wajali mabasi haya, madereva nao wana wajibu wa kuhakikisha magari haya yanadumu,” alisisitiza. Alisema kuhujumu mabasi hayo mapya au miundombinu ya mradi huo ni sawa na wananchi kujihujumu wenyewe, kwani huduma hiyo ni kwa ajili yao.    Alisema tayari kazi ya kufunga vifaa vinavyotakiwa katika mabasi hayo imeshakamilika kwa baadhi ya mabasi na inaendelea kwa mengine. Msemaji wa UDA-RT, Said Mabruk alisema magari yote yanayotakiwa kuanza kwa huduma hiyo ya mpito yana madereva na walishapewa mafunzo na kwamba ni matumaini yao kuwa huduma itaanza kwa wakati uliopangwa. Awamu ya kwanza inahusisha kilometa 20.9 za njia maalumu kutoka Kimara hadi Kivukoni, barabara ya Msimbazi kutoka Faya hadi Kariakoo- Gerezani na sehemu ya barabara ya Kawawa kutoka Magomeni hadi njia panda eneo la Morocco.

[via LEKULE]

Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

Ofisa Forodha wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Atiwa Mbaroni Kwa Kuruhusu Usafirishaji wa Magogo 665

$
0
0

POLISI mkoani Rukwa inamshikilia Ofisa Forodha wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Michael Mwingira ili kusaidia uchunguzi wa magogo 665 na mbao za mti wa mkurungu vilivyokuwa vinasafirishwa kinyume cha sheria kwenda China. Mwingira ni Ofisa Forodha wa TRA katika Kituo cha Forodha kilichopo kijijini Kasesya wilayani Kalambo mkoani Rukwa katika mpaka wa Tanzania na nchi jirani ya Zambia. Hata hivyo, kwa mujibu wa maofisa wa TRA na Misitu mkoani Rukwa thamani ya magogo na mbao zilizokamatwa haijaweza kufahamika mara moja. Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Magalula Said Magalula alimwamuru Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda kumtia mbaroni ofisa huyo wa TRA ili asaidie uchunguzi; pia aliamuru ahamishwe mara moja na kupangiwa kituo kingine cha kazi.    Aidha, amempa wiki moja Ofisa Upelelezi Mkoa wa Rukwa (RCO) awe amekamilisha uchunguzi wa tukio hilo na kumkabidhi matokeo yake. Akizungumza na waandishi wa habari katika Kituo cha Polisi mjini Matai wilayani Kalambo ambako lori lenye namba ya usajili T 427 ASG aina ya Scania limekamatwa likiwa limebeba kontena lenye idadi ya magogo 350, Magalula alisema imebainika magogo hayo yamesafishwa kwa kutumia hati bandia za mauzo ya nje. “Tumeshabaini kuwepo kwa muda mrefu kwa mtandao wa kihalifu unaovuna rasilimali zetu za misitu, kuandaa nyaraka bandia za kusafirisha magogo nje ya nchi ….usafirishaji wa magogo haya kati ya Tanzania na Zambia ulishapigwa marufuku kuwa hayaruhusiwi kuuzwa nje ya nchi,” alisisitiza Magalula. Baada ya kukagua lori hilo linaloshikiliwa katika Kituo cha Polisi mjini Matai likiwa na kontena lenye magogo hayo, Magalula aliamuru msafara wake ufike katika Kituo cha Forodha kilichopo mpakani mwa nchi ya Zambia katika kijiji cha Kasesya umbali wa kilometa 47 kutoka Matai Mjini. Katika Kituo hicho cha Forodha cha Kasesya, Magalula alishangazwa baada ya kubaini magogo mengine na mbao vyote kwa pamoja vikiwa 315, vikiwa vimehifadhiwa karibu na jengo la forodha hiyo. Magogo hayo yanayodaiwa kuwepo hapo kwa muda mrefu ambapo tayari yalikuwa yamebanguliwa kwa kusafirishwa China pamoja na mbao zake licha ya maofisa wa TRA kusisitiza kuwa ni sehemu ya magogo yaliyokamatwa juzi na kuzuiwa katika Kituo cha Polisi mjini Matai. “Inasikitisha sana maofisa wa Polisi , Uhamiaji na mazao ya misitu mlioaminiwa kuulinda mpaka huu mmeshindwa kufanya hiyo ….. nitawataarifu waajiri wenu ili wawachukulie hatua za kinidhamu pia kisheria …. Mmeshindwa kutimiza majukumu yenu ipasavyo,” alisisitiza Magalula. Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Wilman Ndile alieleza kuwa miti ya aina hiyo ya mkurungu ambayo inapatikana kwa wingi wilayani humo kuliko sehemu nyingine nchini, imepata soko lenye ushindani mkubwa katika nchi za Mashariki ya Mbali. “Kamati ya Ulinzi na Usalama wilayani Kalambo iliweka mtego na kubaini kuwa miti inaibwa kwa kuvunwa usiku wilayani kwetu kisha inavushwa hadi nchi jirani ya Zambia na kusafirishwa Mashariki ya Mbali kupitia kituo chetu cha forodha kiujanja ujanja kwa hati bandia,” alisisitiza DC. TRA imekumbwa na kashfa kubwa katika siku za karibuni ukiwamo upotevu wa makontena zaidi ya 2,800 ambayo hayajalipiwa ushuru wa mabilioni ya Shilingi, hali iliyosababisha kusimamishwa kazi na kufikishwa mahakamani kwa maofisa wake wa ngazi za juu akiwamo Kamishna Mkuu Rished Bade aliyesimamishwa kazi na Rais John Magufuli.

[via LEKULE]

Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

Mwenyekiti Wa UWT (CCM) Ahamia Chadema

$
0
0

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wa CCM wilaya ya Arusha, Vicky Mollel ametangaza kukihama chama hicho na kuhamia Chadema. Akizungumzia uamuzi wake, Vicky ameeleza kuwa amechukua uamuzi huo baada ya kuchoka na majungu yaliyo ndani ya chama hicho ambayo amedai kuwa yanasababisha kuishi kwa kuogopa watu fulani badala ya kufuata katiba. “Nilipokaa niliona nadhoofisha kipaji changu kwa kumuogopa mwanadamu kwani ninachoamini ni kuwa chama kinaongozwa na katiba na kanuni. Lakini badala yake watu wachache wanaongoza CCM huku wakidhani siasa ni kuzusha majungu na chuki,” Mollel aliwaambia waandishi wa habari. Aliongeza kuwa chama hicho hivi sasa kinatumia muda mwingi kutafuta mchawi na nani aliyekihujumu na kwamba mwenendo huo ulimkatisha tamaa. Mollel anatarajiwa kukabidhiwa kadi ya Chadema Jumatano wiki hii na aliyekuwa mgombea urais wa chama hicho, Edward Lowassa. Mollel ambaye aliwahi kuwa diwani wa viti maalum, alimtaka Godbless Lema (Mgombea ubunge kupitia Chadema) kusahau tofauti zilizokuwepo kati yao huku akieleza kuwa hakuna urafiki wala uadui wa kudumu katika siasa. Pia, aliwashukuru akina mama na wafuasi wa CCM waliokuwa wanamuunga mkono huku akiwaomba wamfuate Chadema.

[via LEKULE]

Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat


Gazeti la Mwanahalisi Latoa Majina Yaliyovuja Baraza la Mawaziri wa Magufuli

$
0
0

Wakati joto la kusubiri rais John Magufuli atangaze majina ya baraza lake la mawaziri likizidi kupanda, gazeti la Mwanahalisi limetoa baadhi ya majina yanayodaiwa kuvuja kutoka kwenye orodha hiyo. Mmoja kati ya majina ambayo yamevuta usikivu wa wengi ni jina la aliyekuwa waziri wa mambo ya nje, Bernard Membe ambaye alikuwa mmoja kati ya wagombea wa CCM waliokuwa wanatajwa kuwa chaguo la rais mstaafu, Jakaya Kikwete. Kwa mujibu wa gazeti la Mwana Halisi, majina mengine yanayotajwa ni pamoja na January Makamba,Dk. Asha Rose Migiro,Ridhiwani Kikwete,Peter Serukamba na Mwigulu Nchemba. Jina jingine lililotajwa kwenye orodha hiyo ni jina la aliyekuwa Makamo Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agostino (SAUT), Dk. Charles Kitima.    Dk. Kitima anadaiwa kuwa mmoja kati ya watu waliomuamini sana Dk. Magufuli wakati akiwa Waziri wa Ujenzi na hata kumualika kuwa mgeni rasmi kwenye mahafari ya chuo hicho. NB: Majina  haya  ni  kwa  mujibu  wa  gazeti  la  Mwanahalisi ambalo limedai kuyapata baada ya kuvuja. Rais Bado hajatangaza baraza lake la mawaziri Hata hivyo,Rais Magufuli anatarajiwa kutangaza baraza lake la mawaziri muda wowote kuanzia sasa.    Kwa mujibu wa katiba, rais anapaswa kutangaza baraza lake kabla ya kuanza kwa vikao vya bunge vya mwezi Januari.

[via LEKULE]

Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

INTER-PARLIAMENTARY GAMES BEGINS, …razor hot Kenya and speedy Rwanda off the starting blocks in style

$
0
0

East African Legislative Assembly, Kigali, Rwanda, December 7, 2015:  The 6th Inter-Parliamentary Games have commenced in Kigali, Rwanda with tug-of-war and athletic disciplines taking off to a competitive start. In athletics, Senator Isaac Melly of Kenya made a dash to the line in 11.67 seconds to win the 100 metres race with compatriot, Hon David Ochieng coming in second thirty seconds later.   Former Boston Marathon Champion, Hon Wesley Korir comfortably won the 800 meters race on 2 minutes 19 seconds while Hon Kisoi Munyao came second.   Rwandan legislator, Hon Semasaka Gabriel finished third. In the women’s category, legislators from Parliament of Rwanda carried the day in the 100 metres and 800 metres respectively. Flagg Off: Speaker of the Parliament of Rwanda, Rt. Hon Donatile Mukabalisa flags off the procession to the Amahoro Stadium from the Parliament of Rwanda. On right is Legislator, and Chairperson of the Bunge Sports Club, Hon Wafula Wamunyinyi, from Parliament of Kenya. Rwanda’s Hon Petronile Mukandekezi beat a strong field in the 100 metre dash hitting the 16.22 mark while Hon Nyirahirwa Venerandana was second. Hon Eusillah Ngeny of Kenya came in third crossing the line on 16.54. In 800 metres Rwanda’s Hon Annonce Manirarora won the race on 4min.44 while Hon Dorcas Ngeny, Parliament of Kenya and Hon Nancy Abisai of EALA came in second and third respectively. Legislators at the beginning of the Inter-Parliamentary Conference held at the Parliament of Rwanda earlier today. In Tug- of- War, men’s category, Parliament of Kenya carried the day as overall winner after beating both the Parliament of Rwanda and EALA by an identical 2-1 pull. EALA similarly got 2 pulls over 1 of the Parliament of Rwanda. In women’s category, Parliament of Kenya again triumphed after beating both EALA and Rwanda on two similar pulls margin.  Earlier on, Parliament of Rwanda had held on to pull twice over EALA.  The games were preceded by a Pre-Tournament Conference called to nurture bonding and a spirit of friendship during the games, which are the 6th such for the region. EALA Speaker Daniel Fred Kidega urged the Parliaments to use sport to enhance integration. “This week, we would like all citizens of Kigali and its environs to come and participate in the Games”, he said. Athletes sprint at the track event at the Amahoro Stadium. “The games should bring out the best in us in terms of a spirit of friendship and camaraderie. This is the only way we can enhance integration”, he added.   The leader of delegation of the Bunge Sports Club, Kenya, Hon Wafula Wamunyinyi said the region’s legislators would help strengthen the integration process through enhanced collaboration in the sporting arena. Hon Bernard Mulengani of EALA termed as noble, the decision by the EAC Speakers’ Bureau to institutionalise the annual games. The Games continue tomorrow (Saturday) with volleyball, netball and soccer been held at the Amahoro Stadium and the Kigali Regional Stadium in Nyamirambo respectively.

[via LEKULE]

Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

Benki ya NMB yashinda nafasi ya kwanza Tuzo za NBAA kwa mabenki Tanzania

$
0
0

Mkuu wa Idara ya Fedha wa Benki ya NMB, Veronica Pascal (wa pili kushoto) akipokea tuzo kwa niaba ya NMB toka kwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dk. Hamisi Mwinyimvua baada ya kuibuka washindi wa kwanza kwa kuwa na hati safi ya taarifa za fedha kwa upande wa mabenki nchini katika ukaguzi uliofanywa na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA) kwa mwaka 2014. Tuzo hizo zilitolewa jana Bunju nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu Tanzania. Jumla ya makampuni na taasisi 58 zilishiriki katika kinyang’anyiro hicho cha ukaguzi wa taarifa za fedha kwa hiyari. Mkuu wa Idara ya Fedha wa Benki ya NMB, Veronica Pascal (wa pili kushoto) akipokea tuzo kwa niaba ya NMB toka kwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dk. Hamisi Mwinyimvua baada ya kuibuka washindi wa kwanza kwa kuwa na hati safi ya taarifa za fedha kwa upande wa mabenki nchini katika ukaguzi uliofanywa na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA) kwa mwaka 2014. Tuzo hizo zilitolewa jana Bunju nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu Tanzania. Jumla ya makampuni na taasisi 58 zilishiriki katika kinyang’anyiro hicho cha ukaguzi wa taarifa za fedha kwa hiyari. Wawakilishi wa Benki ya NMB, Veronica Pascal (kushoto) akipiga picha ya ukumbusho mara baada ya kupokea tuzo kwa niaba ya NMB baada ya kuibuka washindi wa kwanza kwa kuwa na hati safi ya taarifa za fedha kwa upande wa mabenki nchini katika ukaguzi uliofanywa na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA) kwa mwaka 2014. Tuzo hizo zilitolewa jana na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu Tanzania. Mkuu wa Idara ya Fedha wa Benki ya NMB, Veronica Pascal (katikati) akibadilishana mawazo na baadhi ya wawakilishi kutoka baadhi ya makampuni na taasisi zilizoshiriki kupokea tuzo za washindi wa hati safi za taarifa za fedha kwa makampuni na idara anuai nchini katika ukaguzi uliofanywa na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA) kwa mwaka 2014. Mgeni rasmi, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dk. Hamisi Mwinyimvua (kulia) akizungumza katika hafla ya kutoa tuzo kwa makampuni na taasisi zilizofanya vizuri katika ukaguzi wa taarifa za fedha kwa makampuni na idara anuai nchini katika shindano la ukaguzi uliofanywa na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA) kwa mwaka 2014. Jumla ya makampuni na taasisi 58 zilishiriki katika kinyang’anyiro hicho cha ukaguzi wa taarifa za fedha kwa hiyari. Mhasibu Mkuu Chuo Kikuu cha Kanisa Katoliki katika Afya na Tiba Bugando Boniface Kwiyeya (kushoto) akipokea tuzo kwa niaba ya chuo hicho toka kwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dk. Hamisi Mwinyimvua baada ya chuo hicho kuibuka washindi wa kwanza kwa hati safi ya taarifa za fedha kwa upande wa vyuo nchini katika ukaguzi uliofanywa na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA) kwa mwaka 2014. Tuzo hizo zimetolewa jana Bunju nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu Tanzania. Mhasibu Mkuu Chuo Kikuu cha Kanisa Katoliki katika Afya na Tiba Bugando Boniface Kwiyeya (wa pili kushoto) akipokea tuzo kwa niaba ya chuo hicho toka kwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dk. Hamisi Mwinyimvua baada ya chuo hicho kuibuka washindi wa kwanza kwa hati safi ya taarifa za fedha kwa upande wa vyuo nchini katika ukaguzi uliofanywa na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA) kwa mwaka 2014. Tuzo hizo zimetolewa jana Bunju nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu Tanzania. Mkuu wa Idara ya Fedha wa Benki ya NMB, Veronica Pascal (katikati) akibadilishana mawazo na baadhi ya wawakilishi kutoka baadhi ya makampuni na taasisi zilizoshiriki kupokea tuzo za washindi wa hati safi za taarifa za fedha kwa makampuni na idara anuai nchini katika ukaguzi uliofanywa na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA) kwa mwaka 2014. Baadhi ya wawakilishi wa makampuni na taasisi zilizoshiriki katika mashindano ya ukaguzi wa taarifa za fedha za makampuni yao uliofanywa na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA) kwa mwaka 2014 wakiwa katika hafla ya kupokea tuzo zao toka kwa mgeni rasmi, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dk. Hamisi Mwinyimvua (wa pili kulia) jana Bunju jijini Dar es Salaam katika kituo cha mikutano cha Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu Tanzania. Jumla ya makampuni na taasisi 58 zilishiriki katika kinyang’anyiro hicho cha ukaguzi wa taarifa za fedha kwa hiyari. Wawakilishi wa makampuni yalioshika nafasi za kwanza kwa kuwa na hati safi za taarifa za fedha nchini katika shindano la ukaguzi wa taarifa za fedha uliofanywa na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA) kwa mwaka 2014 wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dk. Hamisi Mwinyimvua mara baada ya kukabidhiwa tuzo hizo zilitolewa jana Bunju nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu Tanzania. Jumla ya makampuni na taasisi 58 zilishiriki katika kinyang’anyiro hicho cha ukaguzi wa taarifa za fedha kwa hiyari. Baadhi ya wawakilishi wa makampuni na taasisi zilizoshiriki katika mashindano ya ukaguzi wa taarifa za fedha za makampuni yao uliofanywa na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA) kwa mwaka 2014 wakipokea tuzo zao toka kwa mgeni rasmi, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dk. Hamisi Mwinyimvua (wa pili kulia) jana Bunju jijini Dar es Salaam katika kituo cha mikutano cha Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu Tanzania. Kutoka kushoto ni Meneja wa Fedha wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Godlove Michael Mville, Ofisa Uhusiano TTCL, Edwin Mashasi na Ofisa kutoka Idara ya Fedha TTCL, Allan Peter Ngowi wakiwa kwenye hafla ya kupokea tuzo kwa makampuni na taasisi zilizofanya vizuri katika ukaguzi wa taarifa za fedha kwa makampuni na idara anuai nchini katika shindano la ukaguzi uliofanywa na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA) kwa mwaka 2014. TTCL pia ilitwaa tuzo kwa kufanya vizuri katika taarifa za fedha. Katibu Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA), Pius Maneno akizungumza katika hafla ya kutoa tuzo kwa makampuni na taasisi zilizofanya vizuri katika ukaguzi wa taarifa za fedha kwa makampuni na idara anuai nchini katika shindano la ukaguzi uliofanywa na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA) kwa mwaka 2014. Baadhi ya wawakilishi wa makampuni na taasisi zilizoshiriki katika mashindano ya ukaguzi wa taarifa za fedha za makampuni yao uliofanywa na Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA) kwa mwaka 2014 wakiwa katika hafla ya kupokea tuzo zao toka kwa mgeni rasmi, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dk. Hamisi Mwinyimvua (wa pili kulia) jana Bunju jijini Dar es Salaam katika kituo cha mikutano cha Bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu Tanzania. Jumla ya makampuni na taasisi 58 zilishiriki katika kinyang’anyiro hicho cha ukaguzi wa taarifa za fedha kwa hiyari.

[via LEKULE]

Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

Van Gaal azungumzia nafasi ya Man United kushinda UEFA Champion League

$
0
0

Louis Van Gaal. Baada ya kutoa sare na timu ya West Ham United, Kocha wa Manchester United, Mdachi Louis Van Gaal amezungumzia nafasi ya timu yake kama inauwezo wa kutwaa ubingwa wa klabu bingwa barani Ulaya (UEFA Champion League). Majibu ya kocha huyo yalitegemewa na watu wengi kutokana na mwenendo ulivyo kwa sasa kwa klabu hiyo kongwe ya nchini Wingereza ambayo imekuwa inapata matokeo ambayo hayawaridhishi mashabiki wa timu hiyo, Van Gaal amesema kikosi chake bado hakijawa na uwezo wa kutwaa ubingwa huo kwa kulinganisha na timu zingine zinazoshiriki mashindano hayo. “Sidhani kama tunaweza kushinda Klabu Bingwa kwa sasa labda kwa mwaka ujao kama tukijiimarisha katika kikosi chetu, ” Tunaweza kuifunga kila timu tunayokutana nayo kwa sasa lakini bado hatuna uwezo wa kushinda Uefa, lakini tutajaribu kufanya kila kitu tuone itakuwaje,” alisema Van Gaal. Aidha Van Gaal amezungumzia mchezo wao wa jumanne wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Wolfsburgya Ujerumani ambao ni mchezo muhimu kwao kupata matokeo mazuri ili kujiweka katika nafasi nzuri ya kufuzu kwa hatua ya 16 bora. “Tunaweza kushinda jumanne, tunatengeneza nafasi kila mchezo na tutatengeneza zaidi katika mchezo wa jumanne na tunahitaji kupambana ili kushinda mchezo huo, tumecheza leo jumamosi, tunapumzika jumapili na jumatatu tunasafiri ni ngumu kujiandaa zaidi lakini tutakabiliana na wapinzani,” alisema Van Gaal.

[via LEKULE]

Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

Underwater Tidal Power | Second Generation Tidal Power Plants | Generating Electricity From Ocean Waves

$
0
0

What is Tidal Energy? Tidal energy is the power of electricity generation achieved by utilization of the variations in sea level caused primarily by the gravitational effects of the moon, combined with the rotation of the Earth by capturing the energy contained in moving water mass due to tides. Two types of tidal energy can be extracted: 1. Kinetic Energy : currents between ebbing and surging tides. 2. Potential energy : Difference in height between high and low tides. In order to be practical for energy production, the height differences needs to be at least 5 meters. Only bays and inlets amplify the height of the tide. Wave facts: Waves are caused by a number of forces i.e. wind, gravitational pull from the sun and moon, changes in atmospheric pressure, earthquakes etc. Waves created by wind are the most common waves. Unequal heating of the earth’s surface generates wind and wind blowing over water generates waves. Types of Tidal Plants Tidal Fences : Turnstiles built between small islands or between mainland and islands. The turnstiles spin due to tidal currents to generate energy. Barrage Tidal Plants : Barrage tidal plants are the most common type of tidal plant. Using a dam to trap water in a basin, and when reaches appropriate height due to high tide, release water to flow through turbines that turn an electric generator. Tidal Turbines : Look like wind turbines, often arrayed in rows but are underwater. Tidal currents spin turbines to create energy. First generation Tidal Power Plants: Tidal Fences Barriage style Tidal Power Plants Second generation Tidal Power Plants: Tidal Underwater Wind turbines Vertical Axis Horizontal Axis THAWT Device Note: One site has potential to equal the generating power of three nuclear power plants. Disadvantages of Second generation Tidal Power Plants: Presently costly 1. Expensive to build and maintain 2. A 1085 MW facility could cost as much as 1.2 billion dollars to construct and run. Energy from the Moon: The diagram shows how the gravitational attraction of the moon and sun affect the tides on Earth. The magnitude of this attraction depends on the mass of the object and its distance away. The moon has the greater effect on earth despite having less mass than the sun because it is so much closer. The gravitational force of the moon causes the oceans to bulge along an axis pointing directly at the moon. The rotation of the earth causes the rise and fall of the tides. When the sun and moon are in line their gravitational attraction on the earth combine and cause a “ spring ” tide. When they are as positioned in the first diagram above, 90° from each other, their gravitational attraction each pulls water in different directions, causing a “ neap ” tide. The rotational period of the moon is around 4 weeks, while one rotation of the earth takes 24 hours; this results in a tidal cycle of around 12.5 hours. This tidal behaviour is easily predictable and this means that if harnessed, tidal energy could generate power for defined periods of time. These periods of generation could be used to offset generation from other forms such as fossil or nuclear which have environmental consequences. Although this means that supply will never match demand, offsetting harmful forms of generation is an important starting point for renewable energy. Generating Electricity from the Tide: Turbines can make electricity when the water turns their blades. The simplest electricity generation system using tides is known as an ebb generating system. It uses a dam, known as a barrage, across an estuary. Sluice gates on the barrage are opened to allow the tide to flow into the estuary on the incoming high tides. They are closed to prevent the water flowing back on the outgoing tide (known as the ebb tide) except through the turbine system. Two way generation systems, which generate electricity on both the incoming and outgoing tides, are also possible. Impression of Tidal Turbine Farm: This form of generation has many advantages over its other tidal energy rivals. The turbines are submerged in the water and are therefore out of sight. They don’t pose a problem for navigation and shipping and require the use of much less material in construction. They are also less harmful to the environment. They function best in areas where the water velocity is 2 – 2.5 m/s. Above this level the turbine experiences heavy structural loads and below this not enough generation takes place. Types of structures : Monopile, Lattice/gantries, Tripod, Moored will all have individual responses to loadings Seabed mountings need to be able to withstand applied vertical/horizontal forces and moments.

[via LEKULE]

Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

Wind Up Battery Charger | Wind Up Mechanism | Wind Up Ideas | Green Technology | Manual Charge Control

$
0
0

The Wind up battery is the endless independent source of power. It is the only tool you will need to charge your mobile phone batteries, notebook batteries, GPS or any other modern gadget which is in this information-packed world essential life companion. The use of wind up battery charger is easy and being that it is totally portable and independent power supply, it is a valuable part of accessory of every trekker’s, backpacker’s, traveler’s adventures journey. It is also an essential back up power supply for any critical emergency events when there is no power supply available nearby. How does it work? The wind up battery mechanism uses internal generator, which is usually hand-powered by spinning the handle on the device. The hand motion, in which AC alternator is driven by a crank converts human mechanical energy and generates the electrical power, by spinning magnets past a coil of wire, which is stored in battery. To charge the device, utilizing the wind up mechanism the hand crank needs to be pulled out of the folded position, and spun in clockwise/counterclockwise direction. After some time of cranking, when the device is charged the handle is folded into position and the device is available to use. There are also foot powered wind up battery devices, which generate power and self charge by human energy through step action. These are able to jump-start a boat or automobile battery, and power a wide array of instruments and accessories and present a valuable and versatile tool for power supply. The Devices using wind up mechanism There are several devices on market which utilize the wind up mechanism. It can be used as a wind up battery charger, wind up flashlight, wind up radio, wind up clock, mp3 player, or a larger electricity supply unit. Usually there are hand cranks folded into the devices, which can be pulled out when needed. The wind up devices are a great way to promote environmentally clean green energy source as the power is derived through windup mechanism which efficiently harvests the human energy and converts it to electricity. If you are an environmentally conscious consumer who likes to travel and have a power charger available for his electric devices and an emergency power supply then the wind up battery is the device to look for.

[via LEKULE]

Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

NEW VIDEO:Belle 9 – Burger Movie Selfie


Mkuu wa mkoa Mwanza Awasimamisha kazi Watumishi Watatu

$
0
0

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo, amewasimamisha kazi watumshi watatu wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, kutokana na kuruhusu ujenzi wa nyumba juu la bomba la mradi wa maji na kuamuru ivunjwe mara moja. Mulongo alitoa maagizo hayo jana baada ya kuitisha kikao cha dharura cha wakuu wa idara ya halmashauri hiyo kutaka kufahamu chanzo cha ujenzi wa nyumba hiyo baada ya kupata taarifa ya mradi wa maji ulioanza mwaka 2005 na kugharimu Sh. bilioni 20. “Kuanzia sasa natoa agizo la kuwasimamisha kazi watendaji watatu wa halmashauri ambao ni Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira, Nestory Kabete, Kaimu Afisa Ardhi, Richard Pungu, pamoja na Mkuu wa Kitengo cha Mipango Miji, Wilson James, baada ya kushindwa kutekeleza kazi walizopewa na serikali,”  alisema Mulongo. Alisema watumishi hao kwa pamoja walipuuzia na kukaidi amri ya serikali waliyoitoa ya siku 21 ya kubomoa nyumba iliyojengwa juu ya mradi wa maji inayomilikiwa na aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Pamphil Masashua, tangu Juni mwaka huu, hali iliyosababisha mradi huo wa maji kusuasua. Alisema wataalam wa maji na ardhi wanatakiwa kwenda ofisi za mkoa huo kuanzia jana ili wafanyie uchunguzi wa kina na iwapo watabaini nyumba hiyo ni mali ya Masashua na imejengwa juu ya miundombinu ya maji lazima ibomolewe haraka. “Na yeyote aliyeshiriki katika kutoa kibali cha ujenzi na ramani ambavyo havikuwa sahihi, lazima watafikishwa mbele ya mahakama,”  alisema.  Aidha, Mulongo alimtaka katibu tawala wa mkoa huo, kuwahamisha watumishi wa idara ya ardhi pamoja na wanasheria wa halmashauri hiyo kwa kufanya kazi kwa mazoea na kusababisha wananchi kubuni mbinu mbadala za kuhujumu serikali. Katika hatua nyingine, Mulongo alimuagiza Mkurugenzi wa Wilaya ya Sengerema, Julius Chaliya, na Katibu Tawala, Ndaro Kulijila, kuhakikisha wanawalipa walimu 234 pesa zao za mishahara ikiwa ni pamoja na barua za kuwaidhinisha kupanda vyeo kuanzia 2014/15 haraka iwezekanavyo.

[via LEKULE]

Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

Syria: watu wasiopungua 26 wauawa katika mashambulizi ya anga

$
0
0

Mtoto katika kitongoni kimoja cha mji wa Syria wa Al-Hol, Novemba 19, 2015. Na RFI Watu wasiopungua 26 wameuawa Jumatatu hii kaskazini mwa Syria katika mashambulizi ya anga yanayokisiwa kutekelezwa na muungano wa kimataifa unaoongozwa na Marekani, shirika la Haki za Binadamu (OSDH) limetangaza. atoto saba na wanawake wanne ni miongoni mwa watu waliouawa katika mashambulizi hayo yaliolenga kijiji cha Al-Hol, ambacho mwezi uliopita kiliondolewa mikononi mwa kundi la Islamic State (IS) na waasi wa Kiarabu na wa Kurdi, shirika la haki za binadamu limeeleza. Mapema Jumatatu wiki hii serikali ya Syria imeunyooshea kidole cha lawama muungano wa kimataifa kuendesha mashambulizi kwa mara ya kwanza katika kambi ya jeshi kuuawa wanajeshi kadhaa, madai ambayo yamekanushwa na muungano unaoongozwa na Marekani, ambao umethibitisha kuwa mashambulizi yake yamelenga kundi la Islamic State (IS). Damascus imejibu kwa nguvu baada ya vifo vya askari wake watatu waliouawa siku ya Jumapili katika mashambulizi ya angani katika kambi ya jeshi ya Deir Ezzor, mashariki mwa Syria. Damascus imeushtumu moja kwa moja “muungano unaoongozwa na Marekani” kwa”uchokozi wa wazi” ambao “unakiuka Mkataba wa Umoja wa Mataifa.” “Tunatoa wito kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuchukua hatua muhimu ili kuzuia tukio kama hili lisirudi si kutokea”, wizara ya mambo ya nje imeongeza katika barua iliyomtumia Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa na Baraza la Usalama la Umoja huo. Alhamisi Desemba 4, Uingereza iliendesha mashambulizi yake ya kwanza ya anga nchini Syria dhidi ya ngome za kundi la Islamic State, masaa kadhaa tu baada ya kupewa idhni na Bunge. Rais wa Marekani Barack Obama, ambaye anaongoza muungano wa washirika nchini Syria dhid ya IS, alikaribisha uamzi huo, akisema kwamba Marekani imekua ikisubiri jeshi la anga la Uingereza kujiunga katika shughuli za kijeshi nchini Syria.

[via LEKULE]

Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

Link za kupakua fomu za Ahadi ya Uadilifu kwa Watumishi wa Umma

$
0
0

Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma imeanza rasmi kutekeleza Ahadi ya Uadilifu kwa watumishi wa Umma nchini. Akiongea na vyombo vya habari leo, Katibu Mkuu Hab Mkwizu amesema utekelezaji huo umeanza rasmi Desemba, 2015 ambapo kila Mtumishi wa Umma ataweka saini ya kiapo kwa kuzingatia taratibu zilizowekwa na mazingira ya taasisi husika. “Utaratibu wa Utekelezaji wa Ahadi ya Uadilifu kwa Watumishi wa Umma umetolewa kupitia waraka wa Mkuu wa Utumishi wa Umma Na. 2 wa mwaka 2015 kuhusu utekelezaji wa Ahadi ya Uadilifu kwa viongozi, Watumishi wa Umma na sekta binafsi wa tarehe 1 Agosti, 2015.” alisema Mkwizu. Mkwizu aliongezea kwa kusema, uanzishwaji wa Ahadi na Uadilifu ni muendelezo wa uundwaji wa vyombo vya kusimamia maadili baada ya ongezeko kubwa la ubadhirifu, utoro sehemu za kazi na kushuka kwa nidhamu katika kipindi cha miaka ya themanini na tisini. Alivitaja vyombo vingine ambavyo vilianzishwa kusimamia ahadi na uadilifu kuwa ni Sekretariate ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU). Mkwizu alivitaja vipengele ambavyo mtoa ahadi anatakiwa kuvitamka ni, kuwa mzalendo wa nchi yake na kutii Serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, kuhudumia Umma na watumishi wenzake kwa heshima, kutimiza wajibu wa kutoa huduma bora kwa umma, kutoa huduma bora kwa usawa kwa watu wote na kutofanya ubaguzi wa dini, siasa, kabila, udugu, ukanda, jinsia, urafiki au hali ya mtu. Vipengele vingine ni kutumia rasilimali za Umma kwa manufaa ya Umma, kutotoa siri za Serikali au mteja kwa watu wasiohusika isipokuwa kwa maslahi ya Umma, kufanya kazi kwa nidhamu ya hali ya juu, kutoomba kushawishi, kutoa wala kupokea rushwa na kutotumia madaraka kwa manufaa binafsi ya ndugu, rafiki au jamaa. Aidha, Mkwizu ametoa wito kwa waajiri wote kuhakikisha kuwa utekelezaji wa Ahadi na Uadilifu unakamilika ifikapo tarehe 31/12/2015 na kuwasilisha Ofisi ya Rais – UTUMISHI kabla ya tarehe 25/02/2016 na utekelezaji wake kuwa kila ifikapo Juni 30 ya kila mwaka. Fomu za Ahadi ya Uadilifu zinapatikana katika tovuti ya Ofisi ya Rais – UTUMISHI yenye anwani www.utumishi.go.tz Au unaweza kupakua moja kwa moja kwa kubofya maneno yafuatayo yaliyokolezewa wino Maelezo ya fomu Fomu za Ahadi za Uadilifu

[via LEKULE]

Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

Efm, DTB kutekeleza agizo la Rais Magufuli Desemba 9

$
0
0

Meneja Mawasiliano na Mahusiano wa Efm Radio, Denis Ssebo akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Efm radio kwa kushirikiana na Benki ya DTB pamoja na Halmashauri ya Wilaya ya Kinondoni chini ya mkuu wa wilaya hiyo, Paul Makonda wameamua kuunga mkono na kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli la kuadhimisha siku ya Uhuru Desemba 9, mwaka huu kwa kufanya usafi wa mazingira. Hatua hiyo ni sehemu ya juhudi za kuondoa ama kumaliza kabisa tatizo la magonjwa ya mlipuko ikiwemo kipindupindu. Akizungumza jana katika ofisi za Efm zilizopo Kawe jijini Dar, Meneja Mawasiliano na Mahusiano wa Radio hiyo, Denis Ssebo amesema siku hiyo wameipa kauli mbiu ya “Naona aibu kuishi na uchafu” wakiunga mkono kauli mbiu ya Wilaya ya Kinondoni inayosema “Usafi uanze na mimi”. Maeneo wanayotarajia kuyafanyia usafi ni barabara inayoanzia Morocco kuelekea Magomeni, kuanzia saa 2 asubuhi na kuendelea, hivyo amewaomba kutumia nafasi hiyo kuwaomba wateja wa Benki ya DTB na wasikilizaji wa Efm pamoja na wakazi wa Wilaya ya Kinondoni kujitokeza siku hiyo ya Uhuru kwa usafi wa mazingira ya nchi.

[via LEKULE]

Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

"UKIBEEP WANAPIGA", DKT MPANGO ATINGA TRA SAMORA BAADA YA MWANANCHI KUTUPIA UJUMBE MTANDAONI

$
0
0

KUNA ule msemo wa watu wa mjini,  kuwa “Uki-beep, napiga” na kweli leo hii Desemba 8, 2015 umetokea pale Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA, barabara ya Samora katikati ya jiji la Dar es Salaam, mlipa kodi mmoja alitupia ujumbe kwenye mtandao wa kijamii akiomba wataalamu wa IT wa TRA, wafike haraka kwenye ofisi zao za TRA Barabara ya Samora kwani mitambo ya ku-print Motor Vehicles License ime-collapse”, na watu wamekaa tu wasijue la kufanya. ilichukua kama dakika 15 au 20 hivi, watu wawili waliovalia suti maridhawa na dada mmoja “aliyeshiba”, walitinga kwenye ofisi hizo, na kukuta walipa kodi wakiwa wamejazana kwenye mabenchi wakijipepea tu, kutokana na joto kali. Mmoja wa watu hao waliovalia suti, alianza kuwauliza walipa kodi, “Jamani vipi huduma za hapa mnaridhika nazo.”? Aliuliza mmoja wao. Walipa kodi hao kwanza walimtazama, na mmoja “akajilipua”, hapana haturidhiki nazo, hapa unapotuona tumeshakaa sana, huduma hakuna tunaambiwa mtandao haupo, tumeshindwa kuchapishiwa stika za malipo ya kodi ya barabarani. Mwingine akasema, hata hali ya hewa humu ndani kama unavyoiona joto kali, hakuna viyoyozi, na tumekuja kulipa kodi hii ni sawa??, akahoji mlipa kodi huyo. Baada ya majibu hayo, Mlipa kodi mmoja aliibuka na kuwaambia wenzake, jamani semeni huyo ndiye bosi mpya wa TRA, “tiririkeni” yaani semeni, na hapo malalamiko yakawa mengi, naye bosi huyo ambaye si mwingine bali ni Dkt. Philip Mpango, ambaye hivi karibuni,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, alimteua kukaimu nafasi ya Kamishna Mkuu wa TRA, akiziba nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa Kamishna Rished Bade, akawajibu, nimeyapokea malalamiko yenu, na ndiyo maana mmeniona niko hapa, nilipokea ujumbe kutoka kwa mlipa kodi akilalamika kuwa hapa kwenye tawi letu huduma zimesimama, nikaona nifike kujua nini kimetokea. Alisema Dkt. Mpango akiwaambia walipa kodi hao ambao walionekana kufurahishwa na maneno hayo. Wakati akiwaeleza hayo, mitambo hiyo ghafla ikaanza kufanya kazi na waliokuwa jirani na madirisha walianza kuitwa mmoja mmoja na kupatiwa huduma. Hiyo ndiyo serikali mpya ya awamu ya tano yenye kauli mbiu “Hapa Kazi Tu”, hakuna kulala kila mtu anapiga kazi tu.  “figisu figisu” ya kile wafanyakazi wa hapo waliwaambia wateja wao kuwa “system iko down”, yaani kwa maana ambayo wao wamezoea kuwaambia wateja kuwa mtandao wa computer haufanyi kazi kwa hivyo walipa kodi kibao waliokuwepo kwenye ofisi hizo, walilazimika kukaa tu kwenye mabenchi wakimuomba mungu mtandao huo upone ili waweze kupata “stika” za magari yaani Motor Vehicles License. Pichani Dkt. Mpango (kushoto), akizungumza na walipa kodi hao kwenye tawi la TRA, barabara ya Samora Desemba 8, 2015.

[via LEKULE]

Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

Viewing all 1695 articles
Browse latest View live