Quantcast
Channel: AutomobileHeat » electronics
Browsing all 1695 articles
Browse latest View live

Akina Mama Waandamana Kudai miili ya Waliouawa na Askari Kwa Kupigwa Risasi...

KINAMAMA kutoka Kata ya Bukundi Wilaya ya Meatu, mkoani Simiyu, wameandamana hadi kwa Mkuu wa Wilaya hiyo, Erasto Sima, kushinikiza wapewe miili ya vijana wao wawili waliouawa na askari Mei 29, mwaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwili wa Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Alhaj Sheikh Shaban Issa Bin Simba...

MWILI wa  Mufti ,Alhaj Sheikh Shaban Issa Bin Simba unataraji kusafirishwa kesho Jumanne Juni 16, kuelekea mkoani Shinyanga kwa ajili ya taratibu za mazishi. Akizungumza na waandishi wa habari kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jeb Bush kugombea urais Marekani

Mwanasiasa wa chama cha Republican, na gavana wa jimbo la Florida, Jeb Bush ametangaza rasmi ametangaza rasmi nia yake ya kuwania nafasi ya urais wa taifa hilo kubwa duniani kiuchumi kwa tiketi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Confirmed: Wema Sepetu Kugombea Ubunge Mwaka Huu.

Miss Tanzania 2006 na muigizaji wa filamu, Wema Abraham Sepetu jana June 16 kupitia kipindi cha Ala za Roho ya Clouds FM alifunguka kuhusiana na kuchukua fomu ya ubunge wa viti maalumu mkoani Singida...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mmarekani amuuliza JK utitiri wa wagombea urais

Rais Jakaya Kikwete akiagana na Makamu wa Rais wa zamani wa Sudani ya Kusini (kushoto),  Riek Machar Teny Dhurgon baada ya kufanya naye mazungumzo mafupi walipokutana jijini Johannesburg, Afrika ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Prof Lipumba, Zitto DK Slaa, kuvaana kwenye mdahalo

Dar es Salaam. Umoja wa watendaji wakuu wa kampuni wa CEO RoundTable (CEOrt) umeandaa mdahalo wa kuzungumzia mbio za urais utakaowahusisha viongozi wa vyama vya upinzani, Profesa Ibrahim Lipumba, Dk...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hizi ndizo ndoto za waowania urais za kuiondoa nchi kwenye umaskini

Oktoba mwaka huu Watanzania wanatarajia kumpokea rais mpya wa awamu ya tano kwa imani kuwa atakata kiu kubwa ya watu wanaopenda kuona wanawekewa mazingira mazuri ya kuondokana na umaskini. Uzoefu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanajeshi watibua shambulizi Somalia

Vikosi vya usalama nchini Somalia vinasema kuwa vimetibua jaribio la mlipuaji wa kujitoa muhanga dhidi ya mkutano wa wanasiasa katikati ya taifa hilo. Maafisa wa polisi wanasema kuwa wamewaua watu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Neymar apewa kadi nyekundu baada ya mechi

Nyota wa timu ya Brazil Neymar alionyeshwa kadi nyekundu baada ya kipenga cha mwisho cha mechi ya kinyang’anyiro cha Copa America baada ya timu yake kufungwa na Colombia kwa mara ya kwanza tangu mwaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Raia wa Liberia awania uongozi wa FIFA

Mwenyekiti wa shirikisho la soka nchini Liberia Musa Bility ametangaza mpango wake wa kutaka kuwania urais wa shirikisho la soka duniani FIFA akisema ni wakati wa Afrika kuongoza. Afisa huyo mwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbowe: Nitagombea tena ubunge Hai

Hai. Siku moja baada ya kuhukumiwa kulipa faini Sh1 milioni au kwenda jela mwaka mmoja kwa kosa la shambulio la kawaida dhidi ya aliyekuwa mwangalizi wa ndani wa uchaguzi mkuu uliopita, Mbunge wa Hai...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nape Amshambulia Freeman Mbowe……..Amtaka AJIUZULU Maana Amekiabisha Chama Kwa...

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amemtaka Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe kujiuzulu uenyekiti kwa kile alichosema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Urais 2015: Mwakyembe Achukua fomu, Azungumzia Sakata la Richmond

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Harrison Mwakyembe, amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na CCM kugombea urais, huku akisema hana chuki na mtu yeyote kwa sababu sakata la Richmond halikuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Green Guard Wampa Kichapo Kizito Mgombea Urais wa CCM Aliyetaka Kutibua...

Harakati za makada wa CCM wanaowania urais kusaka wadhamini mkoani zinaendelea kukumbwa na vituko baada ya wanamgambo wa chama hicho, maarufu kama Green Guards, kumshushia mkong’oto Dk Mussa Muzamill...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maafisa wa polisi washambuliwa Burundi

Kumekuwa na msururu wa mashambulizi ya maguruneti kuwalenga maafisa wa polisi katika mji mkuu wa Burundi Bujumbura. Maafisa wa usalama wanasema kuwa takriban polisi 11 walijeruhiwa usiku kucha....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kocha wa Taifa Stars Maart Nooij na Benchi Lake Lote La Ufundi Watimuliwa Kazi

Kocha Mkuu wa Taifa Stars Maart Nooij akisindikizwa na ulinzi mkali usiku wa kuamkia leo baada ya kumalizika kwa mchezo wa Tanzania na Uganda wa kuwania kufuzu fainali za CHAN katika Uwanja wa Amaan...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jaji Warioba: Sitaongea Chochote Kuhusu Uongozi kuelekea Uchaguzi

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Mstaafu Joseph Warioba amesema hatoongea chochote kinachohusu masuala ya uongozi katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unatarajia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hoteli JB Belmont Yafungwa Mwanza kwa Kushindwa Kutimiza Masharti ya Mkataba.

HOTELI yenye hadhi ya nyota tano ya JB Belmont iliyoko jijini hapa, imefungwa kwa kile kilichoelezwa kuwa imeshindwa kutimiza masharti ya mkataba baina yake na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katibu Mkuu wa CCM , Abdulrahman Kinana Aanza Ziara Mwanza Leo.

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, leo anatarajia kuanza ziara ya siku kumi mkoani hapa, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi na kuimarisha uhai wa chama.   Taarifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jaffarai Feat Kassim Mganga Wakati Official Music Video

FOLLOW INSTAGRAM@sosteneslekule [via LEKULE] Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat

View Article
Browsing all 1695 articles
Browse latest View live