Quantcast
Channel: AutomobileHeat » electronics
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1695

Waziri Wa Kilimo Atoa Saa 48 Kwa Kampuni Ya Sparkway Ltd Kulipa Billion 3.4 Kwa Wakulima Wa Korosho

$
0
0

Waziri wa Kilimo Uvuvi na Mifugo Mwigulu Lameck Nchemba ametoa masaa 48 kuanzia jana  kwa kampuni ya Sparkway ltd kuwalipa wakulima wa korosho wa Mkoa wa pwani, kiasi cha Bilioni 3.4 za mauzo ya korosho.   Kufuatia agizo hilo,Wakulima waliouza Korosho  wataanza kulipwa jumatatu ya Desemba 21, mwaka huu.   Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Waziri wa Kilimo Uvuvi na Mifugo Mwigulu Lameck Nchemba wakati akizungumza mkoani Pwani jana.

[via LEKULE]

Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat


Viewing all articles
Browse latest Browse all 1695

Trending Articles