Quantcast
Channel: AutomobileHeat » electronics
Browsing all 1695 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NEC yaahirisha uandikishaji kwa BVR Dar es salaam

Tume ya Taifa ya Uchaguzi imeahirisha zoezi la uandikishaji jijini Dar es salaa pamoja na mkoa wa Pwani kwa kutumia mashine za BVR lililokuwa linategemewa kuanza rasmi tarehe 4.7.2015 jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mafuriko Ya Lowassa Yatua Jijini Dar……Kingunge Amwaga Wino Hadharani...

WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Ngoyai Lowassa amepata udhamini wa kishindo katika mkutano uliofanyika jana katika ofisi kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kinondoni. Lowassa alipata udhamini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ACT-Wazalendo Kurudisha Mashamba ya Mkonge kwa Wananchi

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimesema kina shabaha ya kurejesha kwa wananchi mashamba ya mkonge yaliyouzwa kwa matajiri wachache ambao kwa sasa hawayatumii kwa kilimo cha zao hilo.   Pia chama hicho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete Akiri Mazingira Mabovu Magereza

RAIS Jakaya Kikwete amekiri kuwapo mazingira mabovu ya Jeshi la Magereza nchini na kulitaka jeshi hilo kubuni njia za uzalishaji wa bidhaa zao zitakazoweza kuwaletea faida na taifa kwa ujumla....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NCCR- Mageuzi Wasema Hawana Mpango wa Kujitoa UKAWA

CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimesema hakitajitoa katika Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) pamoja na kuwapo kwa vikwazo vya ugawaji wa madaraka ndani ya umoja huo.   Akizungumza katika kikao cha Kamati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bunge linapochemka ndio raha yetu- Lissu

Dodoma . Bunge la 10, ambalo linamaliza kazi yake Julai 8 kabla ya kuvunjwa siku moja baadaye, lilikuwa na mengi, lakini mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu anasema kilichowafurahisha wapinzani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK: Nikisamehe wafungwa wanaongezeka 3,000

Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete, ameelezea kushangazwa na ongezeko la uhalifu nchini kwamba kila anapotoa msamaha kwa wafungwa 4,000 katika sherehe za Muungano, lakini inapofika siku ya Uhuru,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kada achukua fomu, atembea hadi stendi

Mikoani . Antony Chalamila (66) amekuwa mgombe wa 41 kuchukua fomu ya kuomba kupitishwa na CCM kuwania urais, lakini kivutio kilikuwa ni jinsi alivyochapa mguu kutoka ofisi za chama hicho hadi stendi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Urais 2015: Membe Adai Pinda Anamnyima Usingizi

WAZIRI wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, ambaye pia anaomba CCM impitishe kuwa mgombea urais katika Uchaguzi Mkuu baadaye mwaka huu, Bernard Membe amekiri kwamba katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magaidi Yaitikisa Tena Morogoro

POLISI mkoani Morogoro kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama imekamata washukiwa wa ugaidi waliokuwa na mifuko mikubwa iliyokuwa na majambia na bunduki kadhaa aina ya Shot gun....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wagombea Urais Wafika 42 CCM

MWANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Banda Sonoko, jana amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama hicho ili kugombea urais kwenye Uchaguzi Mkuu ujao akiwa ni mgombea wa 42. Baada ya kuchukua...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa Awaburuza Wenzake Urais CCM…… Ni matokeo ya utafiti kwenye wilaya 20

 Waziri Mkuu mstaafu, Monduli, Edward Lowassa ametajwa kuongoza katika kutaja vipaumbele vya maendeleo ikiwamo kupunguza tatizo la Ajira nchini na kuinua Elimu, miongoni mwa kundi la wanasiasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mpinzani wa Rais Museveni kuitikisa Uganda akitokea Ulaya

Taharuki imetanda mjini Kampala Uganda baada ya habari kuenea kuwa mpinzani mkuu wa rais Yoweri Museveni ,aliyekuwa waziri mkuu Amama Mbabazi anarejea leo.   Inadaiwa kuwa  polisi wametumwa katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kumekucha CCM: Baraza la Ushauri la Wazee( Mkapa, Mwinyi na Wengine) Kukutana...

Hatimaye kile kikao cha Baraza la Ushauri la Wazee wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinachowahusisha pia marais wastaafu Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa, kinatarajiwa kufanyika wakati wowote wiki hii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Walimu wanyolewa sehemu za siri kishirikina

WALIMU katika shule ya msingi  Nambaza Kata ya Nansimo wilayani Bunda,    wamesema watahama shule hiyo endapo serikali ya wilaya hiyo haitachukua hatua madhubuti kukomesha ushirikina shuleni hapo....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kiongozi wa mashtaka nchini Misri auawa

Kiongozi wa mashtaka nchini Misri Hisham Barakat ameuawa kutokana na majeraha aliopata baada ya bomu kulipua gari lake mjini Cairo. Msafara wa Bwana Barakat ulishambuliwa ulipokuwa ukipitia katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dira ya Dunia Tv kuzindua sura mpya leo

Idhaa ya Kiswahili ya BBC Swahili itazindua sura mpya ya “Dira ya Dunia” leo! Kipindi hicho kinachopeperusha taarifa ya habari kwa zaidi ya watazamaji milioni 6.9 itakuwa na sura mpya inayojumuisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je,unaweza kuishi ukiwa uchi?

Watu wengi wasingejihisi vyema kuvua nguo zao zote na kusalia uchi wa mnyama katika maeneo ya uma,lakini kwa wengine ni maisha yao. Mwandishi kutoka nchini Marekani Mark Haskel Smith alikabiliana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Use Relays to Control High-Voltage Circuits with an Arduino

To control high-voltage or high-power circuits with an Arduino, you have to isolate them from the Arduino with a relay. Here’s how! Circuits that operate at high voltages or at high currents cannot be...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

A World Without Cords: An Overview of Wireless Charging

Qi (pronounced as “chee”) charging is an optimized inductive charging, also known as “wireless charging” allowing you to charge your devices wirelessly. Only compatible devices’ batteries are charged...

View Article
Browsing all 1695 articles
Browse latest View live